qui qui quiiii hapa umenchekesha jmn lol! kumbe ndio mchezo wenu eeee???
Anakuja bila taharfa utafanyeje mpendwa
qui qui quiiii hapa umenchekesha jmn lol! kumbe ndio mchezo wenu eeee???
Tuassume una girlfriend wako ambaye ni mwanachuo/mfanyakazi, hivyo hamuishi pamoja yeye huja kukutembelea au kulala mara moja moja. Wewe mwanaume ni mfanyakazi.
Kitu nashindwaga kuelewa:
Utakuta huyu bidada anaacha vitu vyake kama chu.pi, khanga, pedi, handbag n.k. Kuacha hivi vitu sio kesi, tatizo ni kwamba anaviweka sehemu ya kuonekana na akikuta umevihamisha kuviweka kwenye kabati anakua mkali kama mbogo aliyetoka kujeruhiwa!!! Inakua mbaya zaidi kama mwanaume umepanga chumba kimoja, mgeni akiingia akakuta chup.i ya kike imetundikwa hadharani sijui ataondoka na picha gani!!! Au pedi iko mezani!! anaweza akadhani wewe ni SHEMALE!!
Ilinitokea mimi kipindi cha nyuma na leo imemtokea jamaa yangu.
Labda tuwaulize tu ninyi wadada, haka katabia maana yake nn? dada mmoja amenidokeza eti mnafanya hivi ili mwanamke mwingine akija kwangu ajue nina mpenzi!!! lkn bilashaka kunaweza kukawa na sababu nyingine...
Hebu tiririkeni
KAMA UMEAMKA NA HANGOVER USICOMMENT TAFADHALI, USIJE UKACHAFUA HALI YA HEWA.
ukipenda boga........!!! acha kulalamika. Unamfunua burebure tu, hiyo ndiyo gharama yake. kuwa mpole tu.
Weka Picha mkuu, nafikiri itakuwa vizuri kabla sijacomment
mi kama hao wakiacha naweka kapuni siku akija navirudisha! ila ukifanya hivi hakikisha haleti suprise za kuja kwako bila taarifa!Tuassume una girlfriend wako ambaye ni mwanachuo/mfanyakazi, hivyo hamuishi pamoja yeye huja kukutembelea au kulala mara moja moja. Wewe mwanaume ni mfanyakazi.
Kitu nashindwaga kuelewa:
Utakuta huyu bidada anaacha vitu vyake kama chu.pi, khanga, pedi, handbag n.k. Kuacha hivi vitu sio kesi, tatizo ni kwamba anaviweka sehemu ya kuonekana na akikuta umevihamisha kuviweka kwenye kabati anakua mkali kama mbogo aliyetoka kujeruhiwa!!! Inakua mbaya zaidi kama mwanaume umepanga chumba kimoja, mgeni akiingia akakuta chup.i ya kike imetundikwa hadharani sijui ataondoka na picha gani!!! Au pedi iko mezani!! anaweza akadhani wewe ni SHEMALE!!
Ilinitokea mimi kipindi cha nyuma na leo imemtokea jamaa yangu.
Labda tuwaulize tu ninyi wadada, haka katabia maana yake nn? dada mmoja amenidokeza eti mnafanya hivi ili mwanamke mwingine akija kwangu ajue nina mpenzi! lakini bilashaka kunaweza kukawa na sababu nyingine...
Hebu tiririkeni
KAMA UMEAMKA NA HANGOVER USICOMMENT TAFADHALI, USIJE UKACHAFUA HALI YA HEWA.
Tuassume una girlfriend wako ambaye ni mwanachuo/mfanyakazi, hivyo hamuishi pamoja yeye huja kukutembelea au kulala mara moja moja. Wewe mwanaume ni mfanyakazi.
Kitu nashindwaga kuelewa:
Utakuta huyu bidada anaacha vitu vyake kama chu.pi, khanga, pedi, handbag n.k. Kuacha hivi vitu sio kesi, tatizo ni kwamba anaviweka sehemu ya kuonekana na akikuta umevihamisha kuviweka kwenye kabati anakua mkali kama mbogo aliyetoka kujeruhiwa!!! Inakua mbaya zaidi kama mwanaume umepanga chumba kimoja, mgeni akiingia akakuta chup.i ya kike imetundikwa hadharani sijui ataondoka na picha gani!!! Au pedi iko mezani!! anaweza akadhani wewe ni SHEMALE!!
Ilinitokea mimi kipindi cha nyuma na leo imemtokea jamaa yangu.
Labda tuwaulize tu ninyi wadada, haka katabia maana yake nn? dada mmoja amenidokeza eti mnafanya hivi ili mwanamke mwingine akija kwangu ajue nina mpenzi! lakini bilashaka kunaweza kukawa na sababu nyingine...
Hebu tiririkeni
KAMA UMEAMKA NA HANGOVER USICOMMENT TAFADHALI, USIJE UKACHAFUA HALI YA HEWA.
mi kama hao wakiacha naweka kapuni siku akija navirudisha! ila ukifanya hivi hakikisha haleti suprise za kuja kwako bila taarifa!
ukishindwa ubabe tu "sipendi kuziona, hapa wanaingie watu tofauti tofauti" na ndo maana kuna makabati na mabegi!
Nakupenda bila sababu, lolThis is one of the signs of a desperate woman. A woman who moves in albeit forcefully into a man's home to try and establish a form of possessiveness hoping the man will be coerced into commitment.
Such a dumb move.
Men hate/fear commitment. Moving into his home without his invitation leaves a lot to be desired. He may really like you but clinging sends him scuttling without a second thought.
Some aspects of a relationship are best left to a man to make a decision.... if he invites you into his home then do so but play according to his cue. A pair of pys, a pair of jeans... not the whole closet.
Sista naona umekuwa balozi mzuri sana wa vita dhidi ya ukimwi, kila mzinzi unamwachia hiyo kazi..Hiyo inaitwa "territorial marking", hata mbwa hukojolea sehemu anazopita ku mark territory yake. Sasa hivyo vijijanakike unavyofanya navyo zinaa vinaweka marking yao.
Kapime UKIMWI.
Nakupenda bila sababu, lol
This is one of the signs of a desperate woman. A woman who moves in albeit forcefully into a man's home to try and establish a form of possessiveness hoping the man will be coerced into commitment.
Such a dumb move.
Men hate/fear commitment. Moving into his home without his invitation leaves a lot to be desired. He may really like you but clinging sends him scuttling without a second thought.
Some aspects of a relationship are best left to a man to make a decision.... if he invites you into his home then do so but play according to his cue. A pair of pys, a pair of jeans... not the whole closet.
i real begin to like you!This is one of the signs of a desperate woman. A woman who moves in albeit forcefully into a man's home to try and establish a form of possessiveness hoping the man will be coerced into commitment.
Such a dumb move.
Men hate/fear commitment. Moving into his home without his invitation leaves a lot to be desired. He may really like you but clinging sends him scuttling without a second thought.
Some aspects of a relationship are best left to a man to make a decision.... if he invites you into his home then do so but play according to his cue. A pair of pys, a pair of jeans... not the whole closet.
Sista naona umekuwa balozi mzuri sana wa vita dhidi ya ukimwi, kila mzinzi unamwachia hiyo kazi..
"Kapime Ukimwi"
right on point,nimekupenda bure...and i must credit ur 'perfect english' too...
i real begin to like you!