Dada zetu, hii maana yake nini?

Dada zetu, hii maana yake nini?

Wamasai wanaume huwa wanaacha fimbo mlangoni ili mwenye mali akirudi ajue kuna mtu ndani hivyo kwa mabinti wenye tabia hiyo lengo ni hilohilo kwamba ukiingiza mtu mwingine huyo mtu aone hivyo vitu na kujua kuwa hapo si mahala pake kuna mwenzake!

Well said mkuu!

Nimekupata.
 
Kuacha nguo mahali sio issue. Issue ni unaziachaje? Hata kwangu kuna wageni wanakuja wanasahau suruali ama khanga, inafuliwa na kuwekwa kabatini.

najua udaku wenu, mnadhani zinaachwa ili mfumaniwe? Siku hizi hata ukilinda ferry watu wanavua samaki bagamoyo. Mtu anaonekana na kitambi kabisa na pete kama bango la tigo na bado wajuba wanamega!
wanaacha suruali?!!,kumbe na wewe ni bacherol mkuu.?.

Sasa akiacha suruali anaondoka na boxer ama?
 
Sasa mbona jibu ni rahisi tu hapo, akiacha vi2 vyake we muhifadhie kabatini. siku akijatena unaviweka palepale alipoviacha siku aliyoondoka
 
Akiweka tena hamisha, akiwaka mwambiie kwamba mbona unauwwezo wa kuhamisha yeye akiwa hayupo na kurudisha akirudi>>>>Hajiaamini tatizo.
 
anahis unawapanga so unazificha ili wasizione ikaleta malumbano!
 
Sasa mbona jibu ni rahisi tu hapo, akiacha vi2 vyake we muhifadhie kabatini. siku akijatena unaviweka palepale alipoviacha siku aliyoondoka

qui qui quiiii hapa umenchekesha jmn lol! kumbe ndio mchezo wenu eeee???
 
Lazima wapo wale wachache wa kike...

Anyway, naona unanilazimisha niongee kitu...
kama its your house, you make your own rules ambazo mgeni yoyote including girlfriends/michepuko lazima ifuate.
Therefore, wewe ndio unapaswa kumuonyesha mtu wako kipi anapaswa afanye na kipi asifanye. Kama hafati rules zako, show it to her kwamba umekereka and hutaki kuona tabia hiyo, kama hawezi, asiweke mavitu yake ndani kwako. simple.
 
Anyway, naona unanilazimisha niongee kitu...
kama its your house, you make your own rules ambazo mgeni yoyote including girlfriends/michepuko lazima ifuate.
Therefore, wewe ndio unapaswa kumuonyesha mtu wako kipi anapaswa afanye na kipi asifanye. Kama hafati rules zako, show it to her kwamba umekereka and hutaki kuona tabia hiyo, kama hawezi, asiweke mavitu yake ndani kwako. simple.

Safiii!

Sasa nimeridhika.
 
wanawake wakipata men wanakuaga kama wamejisusa hivii, wanafanyaga vitu mpaka vya aibu waziwazi. an.aweza anika chupi hata mlangon yaaaan hatar sana
 
wanawake wakipata men wanakuaga kama wamejisusa hivii, wanafanyaga vitu mpaka vya aibu waziwazi. an.aweza anika chupi hata mlangon yaaaan hatar sana

Kweli kbs mkuu

Mimi nadhani tatizo kubwa ni kwamba wanakua desperate sana na ndoa

Siku hizi ukimdate tu binti anachofikiria yeye ni ndoa
 
Back
Top Bottom