Dada zetu, hii maana yake nini?

Dada zetu, hii maana yake nini?

Hama kwenye chumba kimoja, manake huyo mwanamke hayuko organised. Unaweka pedi mezani na kutundika chupi nyuma ya mlango ili iweje? Hata juu ya dressing table chumbani sio mahali pa kuweka pedi!
 
Nawaogopa watu wenye hangover kwasababu comments zao nazo zinakua na mning'inio

Anyway naona wewe umeshapata supu

Karibu...

Asante mkuu,wanawake wa aina hii ni wanawake wasiojiamini, wanafanya hvyo kukutegeshea. wanahisi akija mwanamke mwingine utaziondoa hapo hapo anasahau chumba chenyewe kimoja.
 
Hama kwenye chumba kimoja, manake huyo mwanamke hayuko organised. Unaweka pedi mezani na kutundika chupi nyuma ya mlango ili iweje? Hata juu ya dressing table chumbani sio mahali pa kuweka pedi!

kabisaaaa! Hujakosea King'ast
 
Last edited by a moderator:
Hama kwenye chumba kimoja, manake huyo mwanamke hayuko organised. Unaweka pedi mezani na kutundika chupi nyuma ya mlango ili iweje? Hata juu ya dressing table chumbani sio mahali pa kuweka pedi!

Hahaha King'asti...

Kile chumba kimoja ulikua ni mfano tu

Mimi siishi kwenye chumba kimoja

Anyways nimeyapenda mawazo yako

But if that is the case, inaelekea mabinti wengi hawako organised manake wahanga wa hii case tuko wengi.
 
Asante mkuu,wanawake wa aina hii ni wanawake wasiojiamini, wanafanya hvyo kukutegeshea. wanahisi akija mwanamke mwingine utaziondoa hapo hapo anasahau chumba chenyewe kimoja.

Duh!!!

Majanga mkuu!

Sijui ni kwanini hawajiamini!
 
Mzee Kimbembe,

Wachaga walikuwepo Hazina, na BOT (Freeman), hata kabla ya Mramba, toka enzi za yule Mhindi, baadaye Msuya(Mpare), Mtei (Mchagga), Kibona (Mbeya), Malima (Mzaramo), Kikwete (------), Yona (Mpare), Mramba (Mchagga), wachagga walikuwepo tu pamoja na kubadilishwa kwa mawziri weee, na ukiangalia hii list kwa makini ni lazima ukubali kuwa hawa wachagga kina Mengi hawa, katika bongo wana ujuzi fulani wa mahesabu ambao makabila mengine hatuna, ni vizuri tukubali yaishe! Wachagga kwa mahesabu ni namabri moja,

TRA huyo alikuwa Ben na mzee Sanare, ndio waliowajaza wachagga ambao no question kuwa ni qualified katika hiyo field I have no problem kukubali kuwa Wachagga ni wajanja long time kabla ya sisi wengine,

.....mimi ninakumbuka nikiwa boarding School jaamaa wa kichagga walivyokuwa tofauti na sisi makabila mengine, sisi tuko darasani jamaa wako maporini kutafuta madini, ngozi za chui na meno ya tembo, na wakirudi darasani kitabu kinapanda kama kawaida, Jumapili wao hukaa chini ya kivuli na kusikiliza miziki ya Jimmy Reeves na Doly Parton, sisi tunahangaika na kwenda mjini kuzurura bila sababu bro!

Mzee Mwanakijiji,

Ninaamini huko US wewe sasa ni naturalized Citizen, hebu kachukue fomu ya urais wa US kama watakupa hao wenzetu si ndio watu wasoijali ubaguzi!


Salim ni mwarabu wa Zanzibar, basi aende huko wampatie urais huku bara hatutaki! Tumekataa as taifa na hakuna aliyelalamika, njia iliyotumika NO! sio ustaarabu CCM wangemwambia tu ukweli kuwa wewe ni mwarabu, hizo nafasi zote za uongozi alikuwa anakupatia Mwalimu sio sisi ila hatukuwa na nguvu za ksiiasa, sasa tunazo tunakwambia hapana nenda visiwani kwenu huko! Na nyinyi mnaojifanya kina Mother Theresa hebu nendeni huko uarabuni mkajionee weusi wanavyofanywa na waarabu weupe, huyu Salim kule Adis alikuwa kaiajiri waarabu wa Oman tu, Mtanzania aliyemuajiri kule ni Bandora tu ambaye we know better kuwa ni Mrundi!

Asha Rose sio Mtandao hata siku moja, ni one of the only kiongozi Clean katika Ari mpya asiyekuwa na makundi, ninasema sio mtamndao wala mtu yoyote ni yeye na elimu yake na uwezo wake kikazi, nenda upitie kule wizara ya kina mama usikie vitu vyake akiwa pale, sasa hivi foreign kunawaka moto watu walikuwa wamezoea kulala tu, Mramba ni kiongozi bora na hata JK ilibidi ajieleze kwa kirefu kwa wafadhili kwa nini alimtoa kule hazina, kwani walisha tishia kutotoa tena misaada,

Tanzania hatuongozwi na mataifa ya nje, lakini ni lazima tujue kwa nini wanamkataa kiongozi wetu? Butross Ghali aliingizwa na wafaransa sio US, na US hawakupinga kwani siku zote Ghali alikuwa kwenye payroll ya CIA, na ndiye West waliyemtumia kumdanganya Sadat aweke mkataba na Israel, kama West walivyomtumia mke wa Gorbachev aliyekuwa CIA kuvunja USSR, hawa wote kina Annan ni walikuwa kwenye payroll ya CIA, ndio maana bwana Ghali alipokataliwa na US Congress ya Republican ya kina Gingrich wafaransa wakamchukua na kumpa ukatibu wa Francophone, hakupewa UN kwa ajili ya uarabu wake NO!, ila usaliti wake hio siku zote ndio tabia ya West. Hakuna mtu anayeingia Cuba na kutoka bila CIA kujua na kumfuatilia mpaka mwisho, Salim alipokuwa kule siku zote walikuwa wanamfuatilia ndio maana wana info zake kibao ambazo walimegea mwalimu,

lakin back to the point Salim ni mwarabu wa Zanzibar, kwa hiyo ni vyema akaanzia urais huko,

ndio maana mzee Kennedy alipumzishwa maana hakuwa Mzungu kama kina Clinton, Bush, Reagan, yeye alikuwa mu-Irish kwa West huyo sio mzungu, ndio maana Dukakiss alishindwa maana alikuwa Mgiriki au Mmanga huyo, sio Mzungu, ndio maana hawa kina Guliani na Pataki hawatapata chochote maana sio wazungu, Guliani ni Mtaliano, na Pataki Mhungary, sasa Tanzania tunafuata nyayo tu za Demokrasia za ukweli huko majuu Au vipi?

Huna jibu ina maana hujawahi kuacha?
 
Kuacha nguo mahali sio issue. Issue ni unaziachaje? Hata kwangu kuna wageni wanakuja wanasahau suruali ama khanga, inafuliwa na kuwekwa kabatini.

najua udaku wenu, mnadhani zinaachwa ili mfumaniwe? Siku hizi hata ukilinda ferry watu wanavua samaki bagamoyo. Mtu anaonekana na kitambi kabisa na pete kama bango la tigo na bado wajuba wanamega!
Hahaha King'asti...

Kile chumba kimoja ulikua ni mfano tu

Mimi siishi kwenye chumba kimoja

Anyways nimeyapenda mawazo yako

But if that is the case, inaelekea mabinti wengi hawako organised manake wahanga wa hii case tuko wengi.
 
Wamasai wanaume huwa wanaacha fimbo mlangoni ili mwenye mali akirudi ajue kuna mtu ndani hivyo kwa mabinti wenye tabia hiyo lengo ni hilohilo kwamba ukiingiza mtu mwingine huyo mtu aone hivyo vitu na kujua kuwa hapo si mahala pake kuna mwenzake!
 
Kuacha nguo mahali sio issue. Issue ni unaziachaje? Hata kwangu kuna wageni wanakuja wanasahau suruali ama khanga, inafuliwa na kuwekwa kabatini.

najua udaku wenu, mnadhani zinaachwa ili mfumaniwe? Siku hizi hata ukilinda ferry watu wanavua samaki bagamoyo. Mtu anaonekana na kitambi kabisa na pete kama bango la tigo na bado wajuba wanamega!

Hahahaa

Umenichekesha sana!
 
Back
Top Bottom