Dada zenu JIJINI...

Dada zenu JIJINI...

Mbona siwaoni mahakamani wateja wa hawa machangudoa??? Polisi hawajatenda haki kabisa hapa kuwa kamata wauzaji peke yao na kuwaacha wanunuzi wa bidhaa wanazo dhani ni haramu
 
Tujitahidi kutafuta suluh ya matatizo yao kuliko kuwa polisi!
 
hili ndio tatizo letu hatuangalii wapi lipo tatizo, unapoanguka usitizame ulipoangukia tafuta nini kilikufanya kuanguka,
Kwani ndio hao tu wanaofanya hiyo biashara walao wao wanafanya kwa malipo ya pao hapo kula Dodoma kulikuwa na kashfa ya wake wa wabunge kulalamika waume zao wana nyumba ndogo mbona hatukuona picha zao hapa?
Hii sio tabia nzuri na aibu hata kwa hao dada poa ndio unawaona wakifunika sura zao kwa aibu lakini hawana namna ya kipato kwa hapa mjini isipokuwa hiyo wameshindwa na njia nyengine,
Kule vijijini tunawaharibia njia zote za mapato ikiwa pamoja na serikali kushindwa kuekeza mitaji na elimu ya kusaidia maendeleo yao
Tumeona gesi inatolewa Mtwara na kuletwa mjini DSM jee kula Mtwara tumewasaidia nini? na rasilimali ya kule tunaileta huku? Madini yote yametaifishwa hata wale wachimbaji wadogo walio wakaazi wa vijiji vinavyotoka madini yale wametimuliwa maeneo yao, wao wakale wapi?

Huo ni udhalilishaji wa raia wa kawaida walioshindwa na maisha na kutafuta njia mbadala iliyongumu kueza kujikimu na maisha,
Kama serikali inawajali hao watu basi iwape elimu na msaada wa maarifa na mitaji ya miradi kueza kujikimu na wimbi la kupanda kwa maisha vyenginevyo ni kuwaonea
 
There must be some forces driving them to this (and dont tell me its money) coz kama hela wangeuza hata genge kama wengine. Hebu fikiri,hii aibu inatoka wapi ? Wanficha sura kwanini ? Watu hawahawa wako radhi kukufunulia maziwa usiku ili ununue bidhaa yao,hata kama wewe ni mpitanjia na wala huna interest nae.
 
maskini huyu mmoja alikuwa mdada wa salon tena alisha ...scrub na kuniosha. Poleni sana, hali ndio inawafanya mtumbukie huko
 
Ayaa Aisha wangu, kwa nn serikali isibuni vyanzo vya kodi kwa mwezi wakitoa leseni ya mwaka au mwezi?
 
Mpaka wateja!!!! Kwel noma
sasa serikal c iwasajili jaman mbona pato lingine la Taifa hilo.....
Vp kwenye katiba mpya hamna alietoa maoni hayo wasajiliwe???
 
Back
Top Bottom