Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,046
- 54,335
Unawahi Taa.........Nikionaga mda ana kitambi au ndevu automatically nakimbia mwendo wa ngiri mkia.....
Unawahi Taa.........Nikionaga mda ana kitambi au ndevu automatically nakimbia mwendo wa ngiri mkia.....
Nkiona ndevu nahis kama ni feminist hv🤔Unawahi Taa.........
Dah,pole zakeNdiyo ilikuwa hivo na kuwakomesha wanawake wenzie.
We unafikiri nan mwingne alikua anafurahishwa? Zaid ya mwanaumeDah!ukute alikuwa anataka kuwafurahisha watoto wa wanawake wenzie...sad
😁
Ndo kufanyejeDiet haisaidii afanye detox utanishukuru baadae
hebu nionee kiduchuuu.Nitulie mie, Sina tumbo...
Hapa nimepiga Tank Top na boyfriend jeans Sina habari
Kama naona team vitambi tunavosonya🤠🤠🤠😂