DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

Sababu kubwa wanajua mapenzi, wametulia na kukua kiakili kimwili na kiroho na hawasumbui ka vijana, na wanajua wanacho kitaka. So ku date nao raha sana haya ya uchumi kila mtu hujishugulisha
Wanawake hivi ni kweli huwa mnaamini kwenye akili zenu wanaume waliowazidi umri hasa mkubwa ndiyo wazuri kwa mapenzi kwasababu wametulia au ni sababu za kiuchumi?
 
Muoaji huwa haonji hafu mi huyo ananiheshimu hataki ngono huyo ndo naweza mu consider mume walah. Wahuni wenzangu tutabanjuka tu
Dada shikilia msimamo wako huo huo me nilisomaga ma ushauri ya huku ooh unabania bania nn kiliwe na nyerere hatimaye nkaachie wakt namaliza chuo mwaka wa tatu

Ila me nashukuru wa kuoa wanajitokeza wengii tu na hao wakuoa ndo ata hawajanionja
 
biashara hiyo haipo dada mboga ikipikwa lazima uweke chumvi kujua kama inatosha kwa matumizi lazima uonje zama zimebadilika! hata nguo unaposhona lazima upimwe kujua size yako!usipoteze mda fanya kama alivyokwambia
 
Hivi najihesabu vip namimi nilikua kwenye mahusiano na mtu na wakati sijapata tunda. Huyo naona ni kama rafiki ambaye alinitunuku tubusu busu tu. Hongera kwa msimamo wako ila hata mimi sioi mpaka nipate tunda.
 
Jaribu kulegeza kidogo misimamo utakosa wachumba kwa sababu ya kubana sana papuchi. Hebu nikuulize miaka 26 ni msichana mkubwa na ushavunja ungo je hamu zako unazimalizaje?
 
Je umewahi kulala na mwanaume? Namaanisha kuzini. Kama bado basi MUNGU atakupa wako. Kama tayari basi mfuate huyo uliyezini naye mara ya kwanza akakutoa bikira ndio mumue wako. Sisi na sie tuko na wale tuliowatoa bikira wale walioachwa na watu huwa tunawapitia tu
 
Ila wanawake wengi hampo tayari kuanzia chini na vijana wenzenu...sizungumzii wewe 28 na yeye 28.

kila kilicho na msingi huwa imara...biashara, nyumba,elimu, n.k
Hahahaha hatuwez fananisha mahusiano na elimu,biashara etc
Vijana hamjielewi mkivumiliwa nyie mnachukilia kama fursa ...akipata huyo anaoa mwingine wewe anakuona unakasoro/mapungufu
Mahusiano na vijana ni kama kucheza biko
 
Nadhani unaamini ni sababu za kifedha Ila ni zaidi ya hiyo.
Afu hawaelewi pesa ni mwanzoni tu , ukishaanza kupendana wala huwez kumchuna ila unampenda yeye kama yeye.....na kama akikuchukulia poa kisa pesa zake unaliacha tu
Mahusiano ni zaidi ya pesa
 
Hahahaha hatuwez fananisha mahusiano na elimu,biashara etc
Vijana hamjielewi mkivumiliwa nyie mnachukilia kama fursa ...akipata huyo anaoa mwingine wewe anakuona unakasoro/mapungufu
Mahusiano na vijana ni kama kucheza biko
Im telling you.

Jaribu kufanya kila jambo lolote bila kujenga foundation ya kutosha uone...litakuangusha.


Wengi mnapenda kuvuna kwenye mapenzi ilihali hamtaki kulima kupanda na kupalilia...You need to struggle, sweat... Jenga msingi wa mahusiano anzia chini...

Ukianzia chini chances za kukwaruzana kwa mambo madogo ni chache...Mnakuwa mnajuana vya kutosha na ukiona viahatarishi maamuzi yanakuwa sio tatanishi.
 
Kwa hiyo hujawahi gegedwa tangu utue hapa duniani [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…