Nimepensa statement " kwao ndio kwenu, sijui utakimbilia wapi"Binamu nyama ya hamu, we kula tu ila zingatia kinga maana umri huo wanashika mimba kama sumaku. Usiombe kumzalisha ndugu maana kwao ndio kwenu, sijui utakimbilia wapi
Hutaki!!?duh, tz kwel elimu duni
Nipm namba yake ya simuNdugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
We ndo umemueleza ukweli. Ye alishaamua hapa anatafuta kuungwa mkono tu.Najua umeshawaza kumla na utamla tu msaada kaa na condom humo ndani
Acha uzushiNi mawazo yako mkuu..
Nenda shule.. Ukasome kwa bidii upate mkopo..Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
Fanya kutupa mawasiliano yake tukusaidieUmeona eee..au nimtolee uvivu jomba?..
shindwa kabisaIkimbie zinaa kama kijana Daudi kwa yule mke wa mfalme, ila mawazo yako yamuone kama dada au mama yako...ukimchukulia hivi hutoweza kunyanyua mshipa wako.... Usile ni haramu kwako...huwezi jua nawe generation yako usiinajisi
Huyo ni ndugu yako kabisa achanae kabisa ikijulikana italeta shida kwenye familia hebu kwanza nipatie namba yake na yeye nimkanye