Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
- Thread starter
- #81
Ongea na dada yako na kumuonya kwamba kitendo anachokifanya si kizuri, lakini usimwambie shemeji maana ikatokea ndoa kuvunjika basi anaweza kujenga uhasama nawe kwa miaka chungu nzima na hata ndugu wengine kukuchukia kwa kuwa chanzo cha kuvunja ndoa ya dada yako.
thanks lol
Last edited by a moderator: