Kimsingi Chadema ni chama cha kifamilia hilo lipo wazi wala haliitaji PhD kulitambua.
Mmiliki wa Chadema ni Mtei, na Mwenyikiti wa Chadema ni Mbowe, ambaye ni mkwe wa Mtei,
Kuna uwezekano mkubwa wa kimaslahi ndani ya familia ndiyo maana Grace Mbowe, kuamua kuondoka Chadema na kwenda CCM.
Tutasikia mengi pindi Grace Mbowe, atakapofunguka zaidi.
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMvA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!
SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)
Ajabu ni nini hapa! Nyererr akiwa rais wa Tanzania mtoto wake wa kuzaa alikuwa Nccr sembuse dada tena wa ukoo sio familia?
Mungi,
Usipende kuropoka wewe ni Chadema lakini huifahamu familia ya kina Mbowe.
Grace ni dada yake Mbowe mama mmoja na baba mmoja.
Poleni sana makamanda
Amejitambua kuwa yeye hawezikuwa msukule.
Inawezekana Mbowe alitaka ampeleke kwenye vurugu akaona upuuzi.
soon vijana wengi watajitambua pia
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!
SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)
achen ushabik ucokuwa na maana,Grace mbowe co dada yake mbowe,ayo ni majina tu yanafanana.fanyen uchunguzi kwanza kabla ya kushabikia habari
Kimsingi Chadema ni chama cha kifamilia hilo lipo wazi wala haliitaji PhD kulitambua.
Mmiliki wa Chadema ni Mtei, na Mwenyikiti wa Chadema ni Mbowe, ambaye ni mkwe wa Mtei,
Kuna uwezekano mkubwa wa kimaslahi ndani ya familia ndiyo maana Grace Mbowe, kuamua kuondoka Chadema na kwenda CCM.
Tutasikia mengi pindi Grace Mbowe, atakapofunguka zaidi.
Mkuu nimejaribu kupitia post zako unajibu kama waimba taarabu jaribu kujirekebisha unalidhalilisha hili jukwaaCc
freeman aikael mbowe
edwin mtei
slaa
wachaga wote
Acha uzuzu kichwa maji ww, kwa hiyo esther wasira ambaye majina yanafanana tu na wasira ndio ishu ya maana? Tumia kichwa km ilivyoelekezwa na mungu wwHayatuhusu kabisa. That is her private business. Isitoshe, who is she by the way. Msitupotezee muda wa kujadili issue za maana. Hiyo ni issue ndogo sana. Haipaswi hata kuandikwa kwenye gazeti la uhuru.
Yani unamaana Makongoro Nyerere alipojiunga na NCCR na kupata ubunge, Mwenye heri Julius Nyerere alikuwa hana ushawishi kwa level ya familia?
Au coincidence ya Mary Nagu na Jitu Son au Anna Tibaijuka na Kikwete ni ushawishi wa kifamilia?