Safi sana, sasa anasubiriwa mbowe mwenyewe
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Ritz hawezi kuchangia hoja yoyote ya madawa ya kulevya hata meno ya tembo kwani wanaofanya kazj hizo ni mababu zake Wa ukoo Wa magamba,
Ritz hajui kuwa tunajua kuwa alikamatwa na madawa ya kulevya HONG KONG hadi mkulu akabidi afunge safari kwenda kumwokoa huko ili asinyongwe? hajui kuwa tunajua kuwa Rais wa China alimuonya vikali sana kuwa asirudie na ameiabisha Tanzania? Mbona baada ya kurudi tz hakuchangia kitu?
Hili Jimbo lina wanachama wa vyama vya siasa wangapi? Pia nina mashaka na chanzo cha hii habari yaani hili gazeti dada la JAMBO LEO.
Mbowe kama anakosa ushawishi katika leval ya family .. Sijui kama ataweza kitaifa
RitzDada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Kwani umeambiwa CHADEMA ni chama cha familia!?? let her go. Hata babaake Mbowe alikuwa ccm, na Mtei pia
Amejitambua kuwa yeye hawezikuwa msukule.
Inawezekana Mbowe alitaka ampeleke kwenye vurugu akaona upuuzi.
soon vijana wengi watajitambua pia
Ajabu ni nini hapa! Nyererr akiwa rais wa Tanzania mtoto wake wa kuzaa alikuwa Nccr sembuse dada tena wa ukoo sio familia?Wakati Mwenyek5iti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!
SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!
SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)