Dada wa kazi anatumaliza jamani

Dada wa kazi anatumaliza jamani

Utafiti gani ulioufanya na kubaini, kiasi cha fedha kilichokutwa kwenye begi la mwanao aliyeweka ni beki3?

Ujue tabia ovu za familia inayokuzunguka, kwako wewe ni vigumu sana kugundua, kwa sababu ya imani kubwa uliyoiwekeza kwao na unavyochungwa mienendo yako , awe ni mke ama watoto wako.

Ainisha kama alikiri mwenyewe huyo veki3 wako ama una hisihisi tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio umeongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uandishi mbovu kabisaaaa wa kufungia mwaka
Ulivosema housegirl anawamaliza mim nlifikir kua amepita na wew(baba), amepita na mwanao, amepita na wapangaji wenzako anapita hadi na majirani na vijana wa bodaboda yaani yey haoni shida kuwavulia chupi. Ingekua ivo ndo tungesema kua anawamaliza na ingekua sawa tu kuja kulialia apa,
Lakin housegirl uliemleta wew nyumban kwako na mshahara unamlipa(bint mdogo tu uyo) anakuibia hela ndo unakuja kulialia hapa?
Lets be serious jamaan this is 2020
 
Mwezi wa 11 niliagiza msichana wa kazi toka kijijini, toka amewasili nimeibiwa sh 120,000, kisha 57,000, ikaja 30,000 na leo kamaliza na 10,000.

Baada ya mkwara mzito akaiweka kwenye begi la kijana wangu la shule ili tuseme yeye ndio mwizi.

Kwa kweli sina hamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi beki tatu akiniibia namtia miti basi tunamalizana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom