CHIEF MGALULA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,190
- 889
Mwezi wa 11 niliagiza msichana wa kazi toka kijijini, toka amewasili nimeibiwa sh 120,000, kisha 57,000, ikaja 30,000 na leo kamaliza na 10,000.
Baada ya mkwara mzito akaiweka kwenye begi la kijana wangu la shule ili tuseme yeye ndio mwizi.
Kwa kweli sina hamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya mkwara mzito akaiweka kwenye begi la kijana wangu la shule ili tuseme yeye ndio mwizi.
Kwa kweli sina hamu
Sent using Jamii Forums mobile app


