Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,271
- 11,763
Shetani ushindwe
Ila cariha
Mkeo sio robot umtese akuhudumie na kujichosha who are you?Sawa lakini labda mimi mshamba najua mkewangu anapswa kunihudumia hivyo vyote.
Sasa huyo mtoa post inamaana mkewe anachoka 24seven?Sawa kabisa kama kuchoka naelewa! Ila huchoki 7 days in a row!
Kwa umeme upi?? Juzi home kwangu pale kwenye lile box la Luku/meter ulikuwa unakata na kurudi kila baada ya dakika moja, nilihesabu hiyo Waka kata nikapata mara 55 (of course nilizima main switch...Funga heater bafuni, acha mambo ya kumwambia beki 3 nitayarishie maji.
Kawaida kwa Fisi akitaka kumla mtoto wake mwenyewe, huanza kumfanaisha na mtoto wa kondoo!Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili. Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke. Lakini kuna jambo moja linanishangaza, hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu am
MmmmhNakushauri umpandishe mkeo cheo, alafu umuoe mdada wa kazi awe 2nd wife.
Mimi tuna msaidizi hapa nyumbani, huu ni mwaka wa pili sijawahi hata kujua jinalake
Naomba kazi nduguSasa nimjue jina la nini wakati mke yupo..?? Kubwa huwa natoa muongozo aongezewe mshahara kila baada ya miezi sita.
Na hakuna sehem mimi na msaidizi tunaweza tuka mingle
changamoto sanaCha ajabu wafanyakaz wa ofisni kwako wote unawajua majina ila anayewalea watoto wako na kuhakikisha ulinzi wako unakwepa kujua jina lake, subiri mwanao apate utapiamlo utajua jina lake hadi ukoo wao.
Ni ka ajabu haka kaleta madaKuna kila dalili house girl kusomwa kitabu. Ikiwa ww ni mwanaume halisi never ever kula hg. Ameajiriwa kwa kazi hiyo mpe ujira wake kwa kuyafahamu majukumu yake sio kumfanyia comparison na mkeo.
Ulimwajiri kwa shughuli gani kama sio hiyo? Hapo unaona hata thamani ya pesa unayomlipa.Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili. Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke. Lakini kuna jambo moja linanishangaza, hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu
Huyo anaelekea kufahamu mengine zaidi ya mkeo.
Kuwa makini pia ila mkeo muamshe toka usingizini.
Bila shaka wewe ni mwanamke na unatabia za huyo mke.
Na hapa unajaribu kujitetea.
Kuwa makini huenda ukapandishwa cheo ukawa Bibi mkubwa!
khaaaahTena heater inauzwa 300,000 tu anaoga maji moto mpk siku ya kufa