Uaminifu ni kitu cha muhimu sana, inasikitisha pale chombo ambacho unaamini ni salama, kumbe ndio kinatumiwa ndivyo sivyo na wasio na tabia njema.
Binadamu ni watu wa ajabu sana, kwa mtu kama huyo hata kesho na kesho kutwa kaona tu umepanda na bidhaa ya thamani na akakupeleka nyumbani, si anaweza hata kukuchoresha kwa wezi