Dada unapiga kelele kama unachinjwa

Dada unapiga kelele kama unachinjwa

MKUU unaishibwapi?...mmmh!! Wewe Ni nduguyangu nini..? maana nammi naishi nyumba flan hivi mtoto wa mwenye nyumba( Dem) anapiga kelele kinoma yaani napataga kero ...
 
Loh.....!!! hiki ni kituko, hili janamke ni jambazi.....aliyekuwa analipigisha kelele ni mzee huyo amechoka choka na afya yake ni mbovu mbovu hivi, halafu lenyewe limepanda hewani, na limezia kweli kweli kifuani kama mabaunsa wa Sean Paul huku chini kwa nyuma likiwa flat, limevaa ka kimini keusi kanaishia juu kidogo ya magoti, vimiguu ni vyembambaaaa halafu vina mabaka mabaka kama magwanda ya jeshi, yani kwa kifupi jinsi alivyo ni tofauti kabisa na sauti aliyokuwa anaitoa kule chumbani, wanakabidhi funguo naona eti linambusu mzee wa watu nae anaonekana hata hayuko richabo kwa hilo busu, nimechukia sana yani kupoteza muda wangu kwa ajili ya huyo comando
 
MKUU unaishibwapi?...mmmh!! Wewe Ni nduguyangu nini..? maana nammi naishi nyumba flan hivi mtoto wa mwenye nyumba( Dem) anapiga kelele kinoma yaani napataga kero ...

Huyo mtt wa mwny nyumba anajaribu kukuingiza kwny anga zake
 
Loh.....!!! hiki ni kituko, hili janamke ni jambazi.....aliyekuwa analipigisha kelele ni mzee huyo amechoka choka na afya yake ni mbovu mbovu hivi, halafu lenyewe limepanda hewani, na limezia kweli kweli kifuani kama mabaunsa wa Sean Paul huku chini kwa nyuma likiwa flat, limevaa ka kimini keusi kanaishia juu kidogo ya magoti, vimiguu ni vyembambaaaa halafu vina mabaka mabaka kama magwanda ya jeshi, yani kwa kifupi jinsi alivyo ni tofauti kabisa na sauti aliyokuwa anaitoa kule chumbani, wanakabidhi funguo naona eti linambusu mzee wa watu nae anaonekana hata hayuko richabo kwa hilo busu, nimechukia sana yani kupoteza muda wangu kwa ajili ya huyo comando

Loh!! Wewe Ni mpiga chabo maarufu
 
Nipo kikazi kwny mji flan hivi, na hapa niko gesti nilipofikia.....sasa kuna hawa wapangaji wenzangu ambao ni jirani na chumba changu cjui wameamua kunifanyia makusudi.

Maana wameanza yale mambo ya kikubwa mapema tu....sasa huyo bidada anavyopiga kelele humo ndani sio mchezo, utafikiri labda anang'olewa jino bila ganzi.

Inakera sana japo kiaina inaleta raha flani, lakin kwa wadada wote kelele za namna hiyo hazifai

Wagongee uombe mechi
 
Loh!! Wewe Ni mpiga chabo maarufu

Chabo wapi c ndo wametoka sasa halafu inaonesha hili dada ni li mchepuko la muda mrefu kwa huyu mzee, analiambia likamsalimie rafiki yake qween
 
Chabo wapi c ndo wametoka sasa halafu inaonesha hili dada ni li mchepuko la muda mrefu kwa huyu mzee, analiambia likamsalimie rafiki yake qween

Sasa wewe umetokaje kuwaangalia? Kama si mpiga chabo maarufu
 
Ilinikutaga singida on my way to Moshi last December... Ilibidi nibadilishe guest usiku huo huo maana mechi ilianza saa 3 mpaka saa 7 kulikua hakuna dalili za kuisha
 
Loh.....!!! hiki ni kituko, hili janamke ni jambazi.....aliyekuwa analipigisha kelele ni mzee huyo amechoka choka na afya yake ni mbovu mbovu hivi, halafu lenyewe limepanda hewani, na limezia kweli kweli kifuani kama mabaunsa wa Sean Paul huku chini kwa nyuma likiwa flat, limevaa ka kimini keusi kanaishia juu kidogo ya magoti, vimiguu ni vyembambaaaa halafu vina mabaka mabaka kama magwanda ya jeshi, yani kwa kifupi jinsi alivyo ni tofauti kabisa na sauti aliyokuwa anaitoa kule chumbani, wanakabidhi funguo naona eti linambusu mzee wa watu nae anaonekana hata hayuko richabo kwa hilo busu, nimechukia sana yani kupoteza muda wangu kwa ajili ya huyo comando
Khaa, we kweli ni reporter! Kazi yako ni uanahabari nini mkuu?
 
Loh.....!!! hiki ni kituko, hili janamke ni jambazi.....aliyekuwa analipigisha kelele ni mzee huyo amechoka choka na afya yake ni mbovu mbovu hivi, halafu lenyewe limepanda hewani, na limezia kweli kweli kifuani kama mabaunsa wa Sean Paul huku chini kwa nyuma likiwa flat, limevaa ka kimini keusi kanaishia juu kidogo ya magoti, vimiguu ni vyembambaaaa halafu vina mabaka mabaka kama magwanda ya jeshi, yani kwa kifupi jinsi alivyo ni tofauti kabisa na sauti aliyokuwa anaitoa kule chumbani, wanakabidhi funguo naona eti linambusu mzee wa watu nae anaonekana hata hayuko richabo kwa hilo busu, nimechukia sana yani kupoteza muda wangu kwa ajili ya huyo comando

Te te te te umenifurahisha, tuwekee picha mkuu tuwaone
 
Nipo kikazi kwny mji flan hivi, na hapa niko gesti nilipofikia.....sasa kuna hawa wapangaji wenzangu ambao ni jirani na chumba changu cjui wameamua kunifanyia makusudi.

Maana wameanza yale mambo ya kikubwa mapema tu....sasa huyo bidada anavyopiga kelele humo ndani sio mchezo, utafikiri labda anang'olewa jino bila ganzi.

Inakera sana japo kiaina inaleta raha flani, lakin kwa wadada wote kelele za namna hiyo hazifai

kuchinjwa ni sawa na kungolewa jino?
na wewe anza kulia kama paka shume tena uwe unaongea na maneno ka mfanya mazingaombwe watatulia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom