Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,304
- 780
Nipo kikazi kwenye mji fulani hivi na hapa niko gesti nilipofikia.
Sasa kuna hawa wapangaji wenzangu ambao ni jirani na chumba changu sijui wameamua kunifanyia makusudi.
Maana wameanza yale mambo ya kikubwa mapema tu sasa huyo bidada anavyopiga kelele humo ndani sio mchezo, utafikiri labda anang'olewa jino bila ganzi.
Inakera sana japo kiaina inaleta raha flani, lakini kwa wadada wote kelele za namna hiyo hazifai.
Sasa kuna hawa wapangaji wenzangu ambao ni jirani na chumba changu sijui wameamua kunifanyia makusudi.
Maana wameanza yale mambo ya kikubwa mapema tu sasa huyo bidada anavyopiga kelele humo ndani sio mchezo, utafikiri labda anang'olewa jino bila ganzi.
Inakera sana japo kiaina inaleta raha flani, lakini kwa wadada wote kelele za namna hiyo hazifai.