Dada una sura nzurii.....

Nataka nikiwa mkubwa niwe kama wewe, wewe ni mzuri shemeji anafaidi wallahi

Hahahahhahaa umenifurahisha ati niwe kama wewe hehehehehehe

Usijali, inakuja na package yake, uwe tayari kwenda nayo na kuigharamia.

Vacation partner huwa ananiambiaga kila ninapomfurahisha..... sitaki asali yangu umpe mtu.... hehehehehe.
 

Mmmhhh hata sifahamu mwaya nnachojua haya makabila mawili ni watani. Maumbile ya kinyamwezi kweli ni ya aina yake ila kama umechanganya wazazi kama mie nakuwa sina umbile halisi la kinyamwezi nimepigwa pasi sababu mama yangu si mnyamwezi.
 
Hahahahhahaa umenifurahisha ati niwe kama wewe hehehehehehe

Usijali, inakuja na package yake, uwe tayari kwenda nayo na kuigharamia.

Vacation partner huwa ananiambiaga kila ninapomfurahisha..... sitaki asali yangu umpe mtu.... hehehehehe.

tehe tehe tehe niko tayari, hongera
 
weka picha ya aliyekusifia.....tuanzie hapo....halafu unaonekana ni dizaini ya wale vibonge vibonge kila kitu kimeungana....tehe tehe..ila mnakuwaga na huruma na mapenzi sana nyie ndicho kinachowakosti..........
 
hz picha mkuu [HASHTAG]#kasie[/HASHTAG] zimenigoma kufunguka kwny pc nitumie PM
 
Watu mnavituko jamani

JF sibanduki
 
Uko sawa kabisa, macho yake si yako. Mke mwenyewe alinishangaza ila kwa kuwa wadada huwa tunasikia raha kusifiwa..... basi alinipa tabasamu mwanana usoni.
Asikuchanganye huyo, kwa picha yako hapo juu wewe ni mzuri mashalaa!
 
Hebu Nipm nione sura yako vizuri tafadhali maana nauona uzuri kwa mbali unakuja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…