Ipyanah
Member
- Jul 15, 2009
- 98
- 37
katika wiki mbili zilizopita, kulikuwa na tafrani kidogo kati ya wale dada poa wanaoishi maeneo ya Buguruni Malapa, na uongozi wa msikiti wa jirani. Malalamiko ya wale dada ni kuwa, kuna kundi la vijana wana wapiga "wageni/wateja" wao, pale wanapo toka kwenda kuwaona kwenye vyumba vyao, vijana hao inasemekana wametumwa na uongozi wa msikiti.
Swali langu ni nani alaumiwe katika fujo zile, wale wakina dada for their "quality" services mpaka sehemu ile, inafamika kwa vitendo vyao na sehemu zingine nchini... au serikali kwa kutopambana vya kutosha na matendo ya ukahaba mpaka wananchi wanajichukulia sheria mkononi??
Na je kuna sheria yoyote dhidi ya ukahaba??
Swali langu ni nani alaumiwe katika fujo zile, wale wakina dada for their "quality" services mpaka sehemu ile, inafamika kwa vitendo vyao na sehemu zingine nchini... au serikali kwa kutopambana vya kutosha na matendo ya ukahaba mpaka wananchi wanajichukulia sheria mkononi??
Na je kuna sheria yoyote dhidi ya ukahaba??