jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.
Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa kama njia ya kuburudisha moyo wangu, japo sijawahi kununua dada poa tokea ni zaliwe na nilijiapiza sitokaa kununua dada poa na kuwekeza nguvu kubwa sana katika kutafuta mke mwema ila mipango na malengo yangu yote imegonga mwamba nazidi kua mpweke sana
Nimejaribu kila michezo na kujichanganya sana na watu, kunywa pombe kali sana , kuhudhuria viwanja na kadhalika na kadhalika lakini nikajakugundua furaha yangu kubwa ni kuwa na mwanamke na ndiyo maana niliwekeza sana kwenye kutafuta mke ili kuziba hili pengo la upweke katika moyo na nafsi yangu.
Ndugu zangu nahitaji kuanza kununua wale dada poa either wa mtandaoni au wale wa kumbi za starehe mitaani ila wawe na hadhi thabiti na lengo hasa ni kustarehesha moyo wangu na nafsi yangu maana nimegundua pombe kali sii kitu ni kipoozeo cha muda tuu.
Pia nikipata mke mapema nitaghairi huu mpango wangu na hakika nitaoa na kuleta mrejesho kwenu,
Wanawake na wakaribisha Pm yangu na hata wenye link (weka pm) au wanaojua dada poa wenye hadhi wanako patikana naombeni mfunguke hapa
Najua ni risk sana kununua dada poa ila tuombeane heri tuu maana sina jinsi tena.
Nb: Kama kuna mwanamke atakua teyari kuolewa na mimi kuniepusha na hichi kikombe aje pia PM ila aandike yupo teyari kua mke kwa dada poa andika kabisa wewe ni dada poa.
Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa kama njia ya kuburudisha moyo wangu, japo sijawahi kununua dada poa tokea ni zaliwe na nilijiapiza sitokaa kununua dada poa na kuwekeza nguvu kubwa sana katika kutafuta mke mwema ila mipango na malengo yangu yote imegonga mwamba nazidi kua mpweke sana
Nimejaribu kila michezo na kujichanganya sana na watu, kunywa pombe kali sana , kuhudhuria viwanja na kadhalika na kadhalika lakini nikajakugundua furaha yangu kubwa ni kuwa na mwanamke na ndiyo maana niliwekeza sana kwenye kutafuta mke ili kuziba hili pengo la upweke katika moyo na nafsi yangu.
Ndugu zangu nahitaji kuanza kununua wale dada poa either wa mtandaoni au wale wa kumbi za starehe mitaani ila wawe na hadhi thabiti na lengo hasa ni kustarehesha moyo wangu na nafsi yangu maana nimegundua pombe kali sii kitu ni kipoozeo cha muda tuu.
Pia nikipata mke mapema nitaghairi huu mpango wangu na hakika nitaoa na kuleta mrejesho kwenu,
Wanawake na wakaribisha Pm yangu na hata wenye link (weka pm) au wanaojua dada poa wenye hadhi wanako patikana naombeni mfunguke hapa
Najua ni risk sana kununua dada poa ila tuombeane heri tuu maana sina jinsi tena.
Nb: Kama kuna mwanamke atakua teyari kuolewa na mimi kuniepusha na hichi kikombe aje pia PM ila aandike yupo teyari kua mke kwa dada poa andika kabisa wewe ni dada poa.