- Thread starter
- #21
Nairobi hawapo? Watafute wakenya wenzako huko, guone
....................Again.......................................................
Nairobi hawapo? Watafute wakenya wenzako huko, guone
Kwayeyote ambaye yuko-willingness tuwasiliane kupitia my e-mail: Kajogoo@yahoo.com
dada nafasi hiyo chukuweni
Nairobi hawapo? Watafute wakenya wenzako huko, guone
Inaonekana umesoma International school.
OTIS
Nitatumia; TBS au ISO. Usijari mkuu
apply tutazungumza
Habari ya kuapply na kuzungumza sitaki. . .nataka kujua kama kuna uwezekano au la!
Duuuh, nahisi mawasiliano yatakuwa magumu
am overweight,naruhusiwa kuapply? (am not joking)
Hahahahahahaaaaaaaaa......!!!!!!
Sawa sister lakini mambo mengine yanakwisha mukiwa pamoja
duh we kabila gani?