Dada nafasi hiyo chukuwa

BULLDOZER

Member
Apr 21, 2012
59
3
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa: 1.Mkristo.
2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Husiwe ushatowa mimba .
3. Huwe na upendo wa dhati.
4. Education level; Form 4 and above.
5. Etc.

Sifa zangu;
1. Nina; higher diploma ya uchumi
2. Nina 30 yrs old
3. Nimejiajiri mwenyewe
4. Etc.
Kwayeyote ambaye yuko-willingness tuwasiliane kupitia my e-mail: Kajogoo@yahoo.com
dada nafasi hiyo chukuweni
 
sifa zote ninazo isipokuwa ya kwanza mimi ni mkristo sio Mkritu
 
Nina mdogo wangu anakidhi mahitaji yote, tatizo amesha toa mimba mara tatu, lakini ukimwona huwezi jua kabisa.Nimempa email yako muwasiliane.
 
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa: 1.Mkritu.
2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Husiwe ushatowa mimba .
3. Huwe na upendo wa dhati.
4. Education level; Form 4 and above.
5. Etc.

Sifa zangu;
1. Nina; higher diploma ya uchumi
2. Nina 30 yrs old
3. Nimejiajiri mwenyewe
4. Etc.
Kwayeyote ambaye yuko-willingness tuwasiliane kupitia my e-mail: Kajogoo@yahoo.com
dada nafasi hiyo chukuweni

Hahahahahahaaaaaaaaa......!!!!!!
 
Nina mdogo wangu anakidhi mahitaji yote, tatizo amesha toa mimba mara tatu, lakini ukimwona huwezi jua kabisa.Nimempa email yako muwasiliane.

poa mkuu. wasiwasi wangu mtu/dada hambaye ametoa mimba kuna matatizo wakati wa kujifunguwa au kuto pata mtoto kabisa.
 
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa: 1.Mkristo.
2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Husiwe ushatowa mimba .
3. Huwe na upendo wa dhati.
4. Education level; Form 4 and above.
5. Etc.

Sifa zangu;
1. Nina; higher diploma ya uchumi
2. Nina 30 yrs old
3. Nimejiajiri mwenyewe
4. Etc.
Kwayeyote ambaye yuko-willingness tuwasiliane kupitia my e-mail: Kajogoo@yahoo.com
dada nafasi hiyo chukuweni
.
Hiyo sifa ya etc ndo ikoje
 
Mimi sijawahi kutoa mimba ila nna watoto watatu.

Vigezo vingine vyote nnavyo.
 
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa: 1.Mkristo.
2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Husiwe ushatowa mimba .
3. Huwe na upendo wa dhati.
4. Education level; Form 4 and above.
5. Etc.

Sifa zangu;
1. Nina; higher diploma ya uchumi
2. Nina 30 yrs old
3. Nimejiajiri mwenyewe
4. Etc.
Kwayeyote ambaye yuko-willingness tuwasiliane kupitia my e-mail: Kajogoo@yahoo.com
dada nafasi hiyo chukuweni

Nairobi hawapo? Watafute wakenya wenzako huko, guone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom