green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
Katika hali isiyoendana na maadili yetu ya Kiafrika Best angu kaja kunipa story kua mke wake alienda kumsalimia wifi yake ambaye dada wa best angu dukani kwake katika mazungumzo yao wifi akaanza kuelezea maisha yake ya ndoa na mumewe ambaye wameoana muda tu na wajaaliwa kupata watoto wa 3 ila kaamua aanze kuishi maisha ya kuchepuka na mabwana wa pembeni makusudi ili apate tulizo la moyo.
Ndipo alipoanza kumshawishi mke wa jamaa nae atafute bwana wa pembeni hatapata stress yoyote ya mapenzi.
Jamaa baada kuambiwa hatua aliyochokua ni kuondoa ushirikiano wa aina baina yake na dada yake na amempiga marufuku mke wake kukanyaga tena huko. Hizi familia zingine kwa kweli ndugu hawapendani kabisa.
Ndipo alipoanza kumshawishi mke wa jamaa nae atafute bwana wa pembeni hatapata stress yoyote ya mapenzi.
Jamaa baada kuambiwa hatua aliyochokua ni kuondoa ushirikiano wa aina baina yake na dada yake na amempiga marufuku mke wake kukanyaga tena huko. Hizi familia zingine kwa kweli ndugu hawapendani kabisa.