Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
1. Je anaona fahari kukutambulisha kwa ndugu rafiki na jamaa zake kuwa wewe ni mtu wake? Au huwa anakaa kimya tu?
Kama hutambulishwi jua wee ni kama door mat.
2. Je anaona fahari kuongozana na wewe? Kama anakwepa kuongozana na wewe jijue kabisaaaa kwake huna thamani.
3. Je huwa anakusifia? Kama hakusifii jijue kuwa humfurahishi, ongeza bidii.
4.
5.
Endelea kuongeza ili kulinda heshima na thamani ya dada zemu kwenye mahusiano.
Kama hutambulishwi jua wee ni kama door mat.
2. Je anaona fahari kuongozana na wewe? Kama anakwepa kuongozana na wewe jijue kabisaaaa kwake huna thamani.
3. Je huwa anakusifia? Kama hakusifii jijue kuwa humfurahishi, ongeza bidii.
4.
5.
Endelea kuongeza ili kulinda heshima na thamani ya dada zemu kwenye mahusiano.