Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Eti huyu naye kasoma level ya University!! topic nyingine yeye anakuja na ngonjera za Chadema na ccm. huyu ni zero.
Hahahaha acha kunivunja mbavu zangu.
Eti huyu naye kasoma level ya University!! topic nyingine yeye anakuja na ngonjera za Chadema na ccm. huyu ni zero.
Lulu kama haoni vile! kweli wanaume kila mtu ana kinahomvutia!Mbugua mimi namfagilia kuliko luluMkuu Tyta mimi nipo kwenye process kwa Janet Mbugua
Huyu dada jamani simtaji ila huwa namuona karibu kila siku ya Alhamisi katika kile kipindi,kwakweli anavutia sana.
Nimalizie kwa kusema tu,nawe camera man kwa kummulika tu huyu dada haujambo!
hapa ulikuwa ujaribu kumuelezea NANIBwana Wake Anaitwa Mr.Raymond Nyamwihula Ambaye na Yeye Pia Ni Mtangazi na Mwandishi Wa Habari Mwandamizi wa Star Tv na Alikuwa Ni Chief Bureau wa Star Tv Jijini A Town ila Kwa Kuwa ana Wivu Kwa Shem Ivona Kamuntu Jamaa Kalazimisha hadi Amerudishwa Sasa Jijini Mwanza ili Aweze Kuwa Karibu na Mke Wake. Namkumbuka Sana Huyu Kaka Raymond Kwani Ndiyo Alinisaidia hata Kupata Hostel Nzuri na Ya Haraka Pale SAUT Mwanza na Ni Hostel Ya Watukutu ila Wenye Akili Darasani na Iliyokuwa Chini Ya Wakatoliki Inaitwa Hostel Ya DARFUR. Vitimbi Vya ktk Hostel Hiyo Asikusimulie Mtu na Maasi Yote Ya SAUT Yalikuwa Yanaanzia ktk Hostel Hiyo na Hata Poti Wangu na Comrade Wangu Mwenyekiti wa BAVICHA Mheshimiwa John Heche Pamoja na Ubabe Wake na Ushawishi Wake Mkubwa Pale Chuoni Kipindi Chetu cha Mwaka 2006 hadi 2009 Tulipomaliza Yeye Akiwa Anachukuwa BAED na Mimi BAMC Alikuwa Anaiogopa Sana Hostel Yetu Ya DARFUR na Watu Wake. Japo Ninapishana Nae ktk Itikadi Ya Siasa ila Nisiwe Mchoyo Wa Fadhila na Pongezi na Wala Nisiwe Mnafiki John Heche Yupo Vizuri, Anajiamini na Anaweza Kukitetea Anachokiamini na Ana Ushawishi Mkubwa Sana na Sishangai Kuwa Alisoma Chuo Kizuri na Bora cha SAUT na Najua Makamu Mkuu wa Chuo Aliyemaliza Muda Wake Dr.Fr. Charles Kitima na Wahadhari Wote wa SAUT Wanajivunia Sana John Heche ila Najipanga Sasa Kumshawishi Ahamie Chama Chetu cha Mtaa Wa LUMUMBA Kwani Anahitajika Mno na Patamfaa Sana na Pia Nataka Nimshawishi Aache Kushabikia Timu Mbovu Ambayo Leo Inafungwa na Ruvu Shooting Taifa Na Wiki Ijayo Inakwenda Kufungwa Magoli Idadi Ya Siku Za Wiki ( Juma ) hapa Dar es Salaam na Waarabu Waliochukua Kombe La Super Cup Majuzi.
Mods huyu jamaa atozwe faini ya kutuma salamu na matangazo ya biashara!
hapa ulikuwa ujaribu kumuelezea NANI
-IVONA?
-RAYMOND
-SAUT
-MAKAMU MKUU WA CHUO
-WENJE
-WAARABU
-TIMU ANAYOSHABIKIA(NANI)
-CHADEMA
-CCM
-HOSTEL
nk mweeeeee!
usitamani mwanamke asiye mke wako, halleluyaaaaa
Oyaa Wiki hii Sitaki Kabisaaaaa Shobo na Mtu Sawa? Hujalazimishwa Kusoma Nilichokiandika na Una Hiari tu Ya Kupita Sawa? Unaweza Ukawashobokea Wengine na Usisumbuke na GENTAMYCINE Kwani bado Nina Machungu Yangu Kukalishwa na WAJEDA Hivyo Sitaki Mihasira Yangu Niimalizie Kwako. Nadhani Tumeelewana ila Kama Wewe ni Mhaya au Muha au Mnyiramba au Mrangi basi Nakuruhusu Uendelee Kunicharura, Kunitania na Kunipiga Madongo Kadri Utakavyo na Wala Sitahamaki Kwani Ndiyo Raha Ya Utani ILA Kama Hutoki ktk Makabila Hayo Tafadhali Endelea tu na Ratiba Zako.
Tempting....
True, ishinde nafsi. Ulimwenguni mna dhiki nyingi, jipe moyo, nimeushinda ulimwengu.
Sema AMEN fasta
Watoto wakali wako kwenye mabenk bwana.
Mimi kuna yule mtoto wa Citizen Tv ya Kenya mashallah dah. Yaani I just find myself watching Kenyan news just to look at her. Kenya oyee!
Tyta upo juu sana mkuu, nilikua natamani sana kumuona mume wa huyu dada!
Tyta upo juu sana mkuu, nilikua natamani sana kumuona mume wa huyu dada!