Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

Mtu mzima anapoteaje?
Kuna sababu Lukuki.., ila mojawapo inaweza kuwa amachanganyikiwa au kapatwa na majanga kwa lolote lililotokea ni vema ndugu wakajua, na kutoa taarifa na kuomba msaada ndio njia pekee ya ndugu kutimiza wajibu wao
 
Wandugu tumepotelewa na dada huyu, katoka nyumbani (Matejoo kwa Giriki) tangu siku ya Juma tano tarehe 24/04/2019. Tumemtafuta kila mahali bila mafanikio. Tumeambiwa alionekana maeneo ya Kwa-Mromboo. Mara ya mwisho alivaa malapa ya bluu, kitenge cha kijani, koti jeupe (dogo), kichwani kajifunika mtandio wa rangi ya zambarau. Tumetoa taarifa polisi (Kituo cha Ngarenaro) na tumepewa RB namba: NG/RB/504/2019.

View attachment 1084528

Yeyote atakayekuwa amemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige namba zifuatazo;
0742-832-390 (Mumewe)
0756-336-967 (Baba Mkwe)
0758-263-074 (Shemeji yake)

Asanteni sana.
Ujaleta mrejesho vipi kapatikana?
 
Atarudii;kwa mro mboo ni shida

Atakuwa alikaribishwa ndafu na baharia kisha tabasam LA bashasha...ongezea hapo na dompo 2

na ukizingatia alishamchukia mumewe,akaona kampata mbwana

🤣🤣🤣🤣🤣 ila ile nyama ya pale ni kwere.....
 
Back
Top Bottom