Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,915
- 14,638
Mkuu kwanza niwape pole kwa kadhia hii na ni vyema mmetoa taarifa polisi kuondokana na sintofahamu zaidi.Asante mkuu, naomba nikujibu ifuatavyo;
Kapotea? Ndio Kapotea
Ana tatzo lolote la kiakili? Hapana, ILA siku moja kabla yakupotea alimwambia mumewe kwamba akimwona anahisi kumchukia bila sababu!!!!!
Aliacha ugomvi nyumbani? Hakuna ugomvi wowote
Mnahisi katekwa? Hatujui mkuu Kwa nini? Hatujui
Kwa intelijensia ya haraka huyo dada ametoroka nyumbani n kwenda kujificha. Muhimu ni kuendelea kumtafuta asije kujidhuru au kudhuriwa zaidi...
Poleni