Gender violence?????????????????/Wandugu tumepotelewa na dada huyu, katoka nyumbani (Matejoo kwa Giriki) tangu siku ya Juma tano tarehe 24/04/2019. Tumemtafuta kila mahali bila mafanikio. Tumeambiwa alionekana maeneo ya Kwa-Mromboo. Mara ya mwisho alivaa malapa ya bluu, kitenge cha kijani, koti jeupe (dogo), kichwani kajifunika mtandio wa rangi ya zambarau. Tumetoa taarifa polisi (Kituo cha Ngarenaro) na tumepewa RB namba: NG/RB/504/2019.
View attachment 1084528
Yeyote atakayekuwa amemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige namba zifuatazo;
0742-832-390 (Mumewe)
0756-336-967 (Baba Mkwe)
0758-263-074 (Shemeji yake)
Asanteni sana.
Ni yeye mkuu, kapotea! Unataarifa kwamba kapotea tangu 24/04?huyu mbona kama mama dori wa JR !!!
acha utani ni yeye?!! mbn anaishi jr toka zamani imekuaje awe anaishi kijenge tena!!!Ni yeye mkuu, kapotea! Unataarifa kwamba kapotea tangu 24/04?
Sijasema Kijenge Mkuu, rejea mwanzo wa bandiko langu!acha utani ni yeye?!! mbn anaishi jr toka zamani imekuaje awe anaishi kijenge tena!!!
ok ni matejoo si ndio?!!..hutu mama dori ana waume wangapi?!!...maana hata jr ana mume anaitwa fadhiliSijasema Kijenge Mkuu, rejea mwanzo wa bandiko langu!
Mkuu hebu rejea kwenye picha nliyoweka hapo mwanzo wa huu uzi nauangalie vyema picha. Huyu ninaemtafuta ni Mama Dori wa Kifaru Bar (mbele ya kwa Giriki), labda kama aliolewa mara mbili, ila kazaa na kijana mmoja anaeitwa Oscar wa Matejoo....ok ni matejoo si ndio?!!..hutu mama dori ana waume wangapi?!!...maana hata jr ana mume anaitwa fadhili
duh haya maajabu.... wanawake tuwe nao makini sana kuna possibility huyu mwanamke ana waume wawiliMkuu hebu rejea kwenye picha nliyoweka hapo mwanzo wa huu uzi nauangalie vyema picha. Huyu ninaemtafuta ni Mama Dori wa Kifaru Bar (mbele ya kwa Giriki), labda kama aliolewa mara mbili, ila kazaa na kijana mmoja anaeitwa Oscar wa Matejoo....
Njoo PM mkuu tuongee zaidi mkuu....duh haya maajabu.... wanawake tuwe nao makini sana kuna possibility huyu mwanamke ana waume wawili
okNjoo PM mkuu tuongee zaidi mkuu....
Hata sisi hatujui nini kilimkumba mkuu!