Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

Kapotea?
Ana tatzo lolote la kiakili?
Aliacha ugomvi nyumbani?
Mnahisi katekwa? Kwa nini?

Asante mkuu, naomba nikujibu ifuatavyo;
Kapotea? Ndio Kapotea
Ana tatzo lolote la kiakili? Hapana, ILA siku moja kabla yakupotea alimwambia mumewe kwamba akimwona anahisi kumchukia bila sababu!!!!!
Aliacha ugomvi nyumbani? Hakuna ugomvi wowote
Mnahisi katekwa? Hatujui mkuu Kwa nini? Hatujui
 
Una full picture yke

Ova
Ninayo Mkuu ila sina picha aliyepiga mwenyewe, ndo maana nili-delete sehemu yenye face/s ya watu wengine na kuweka yakwake mwenyewe mkuu...
 
Ukiona mtu anamchukia mumewe ujue kuna mwanaume mwingine kapendwa, poleni ila naamini atapatikana alichokosea ni kuacha mtoto mdogo

Asante mkuu, naomba nikujibu ifuatavyo;
Kapotea? Ndio Kapotea
Ana tatzo lolote la kiakili? Hapana, ILA siku moja kabla yakupotea alimwambia mumewe kwamba akimwona anahisi kumchukia bila sababu!!!!!
Aliacha ugomvi nyumbani? Hakuna ugomvi wowote
Mnahisi katekwa? Hatujui mkuu Kwa nini? Hatujui
 
Asante Mkuu, anaitwa Hilda Emanuel na Mumewe anaitwa Oscar Didas Kwai.

Atarudii;kwa mro mboo ni shida

Atakuwa alikaribishwa ndafu na baharia kisha tabasam LA bashasha...ongezea hapo na dompo 2

na ukizingatia alishamchukia mumewe,akaona kampata mbwana
 
Atarudii;kwa mro mboo ni shida

Atakuwa alikaribishwa ndafu na baharia kisha tabasam LA bashasha...ongezea hapo na dompo 2

na ukizingatia alishamchukia mumewe,akaona kampata mbwana
Acha masihara mkuu, tupo siriasi na hili swala.....
 
Kama mmelileta hapa basi jua kulijadili ni haki.Na tukitumia weledi tutajua mengi.Na inawezekana kuna watu watachukuliwa hatua
Rich acha mizengwe, hizo vurugu peleka kwenye majukwaa ya siasa, maana una nguvu sana ya kudadisi, watu wamepotelewa ndugu yao wewe unaleta mapambano, please.
 
Rich acha mizengwe, hizo vurugu peleka kwenye majukwaa ya siasa, maana una nguvu sana ya kudadisi, watu wamepotelewa ndugu yao wewe unaleta mapambano, please.
Asante sana kwa kuelewa machungu tunayopitia mkuu.....
 
Kama ameolewa huyu dada na hana matatizo ya akili huyu yupo salama kama hajafungiwa na mwingine ni bahat sana kama walikuwa na ugomvi muulizen mumewe
 
Kama ameolewa huyu dada na hana matatizo ya akili huyu yupo salama kama hajafungiwa na mwingine ni bahat sana kama walikuwa na ugomvi muulizen mumewe
Mumewe kasema hakuna ugomvi baina yao mkuu, ILA: Siku moja kabla ya yeye kupotea, alimwambia mumewe anachukia kila anapomwona na hajui kwa nini.....!
 

Asante mkuu, naomba nikujibu ifuatavyo;
Kapotea? Ndio Kapotea
Ana tatzo lolote la kiakili? Hapana, ILA siku moja kabla yakupotea alimwambia mumewe kwamba akimwona anahisi kumchukia bila sababu!!!!!
Aliacha ugomvi nyumbani? Hakuna ugomvi wowote
Mnahisi katekwa? Hatujui mkuu Kwa nini? Hatujui
Jawabu lipo hapo kwenye "anamchukia bila sababu" ni dhahiri kuna anaempenda bila sababu ndio kaenda
 
Basi huyo hajapotea hapo tunasema ashapata chimbo jipyaaa naangalie kwa makini hata mtt anaweza asiwe wake
Mumewe kasema hakuna ugomvi baina yao mkuu, ILA: Siku moja kabla ya yeye kupotea, alimwambia mumewe anachukia kila anapomwona na hajui kwa nini.....!
 
Back
Top Bottom