affinitytz
JF-Expert Member
- Feb 10, 2020
- 206
- 983
Wasalaam,
Naomba kufikisha ujumbe kama nilivyopatiwa.
Dada/Mama/ Aunt wa miaka 40 - 45 anahitajika kwa mahusiano na mtu mzima mwenzake iwapo wataridhiana.
Ni vyema akawa anaishi Dar es Salaam.
Vigezo
Dini - Mkristo
Tabia njema
Mchangamfu
Naomba kufikisha ujumbe kama nilivyopatiwa.
Dada/Mama/ Aunt wa miaka 40 - 45 anahitajika kwa mahusiano na mtu mzima mwenzake iwapo wataridhiana.
Ni vyema akawa anaishi Dar es Salaam.
Vigezo
Dini - Mkristo
Tabia njema
Mchangamfu