ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,044
Ulikuwa ukienda mida gani kule, watoto wa Mzumbe walikuwa wanapaogopa sana. Umetisha Mkuu, we yalikuwa maeneo yako ya kujidai! Nzovwe, Mbalizi, Airport, Sayi, miss sana Green City. Mi ya kujidai ilikuwa Ilemi kama unakwenda Chunya.Mkuu umenikumbusha maeneo yangu ya kujidai nilipokuwa MTC now MUST (Mbeya University of Science and Technology), ukishuka kidogo hapo unaibukia nzovwe then iyunga.