Dada atupakisye mwakanosya

Dada atupakisye mwakanosya

Ila hili kabila bas tuu
Wako strong sana, wanajitosheleza idara nyingi. Wako njema na si wapenda makuu. Kwao fursa nyingi nadhani kuliko mikoa yote ya Tz. Nawapenda, hawajui majivuno, si wachoyo, wako vizuri kwakweli.
 
Hapana, uyole ni ushuani kidogo. Huyu ni wa pale mabatini chini ya hospitali ya Meta.
Mkuu umenikumbusha maeneo yangu ya kujidai nilipokuwa MTC now MUST (Mbeya University of Science and Technology), ukishuka kidogo hapo unaibukia nzovwe then iyunga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom