Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,428
Sometimes mambo mengine yanashangaza sana, dada yangu anafanya biashara na dada flani kitambo tu na tunafahamiana vizuri, mwanzoni alikuwa ananiita kaka ila siku hizi ananiita Shem hii ni baada ya mdogo wake kuja kuishi naye.
Mwanzoni alinambia nataka uwe shem wangu kwa hiyo ongea naye dogo atakuelewa tu nikamwambia poa kisha nikapotezea, sasa hiyo siku dada kanipigia tukaongea kisha akanambia ongea na dogo, nikashindwa kukataa, katika kuongea naye nikamtongoza maana mtoto mwenyewe 'sio wa nchi hii' ila mtoto akavunga, baadaye dada kanipigia anauliza vipi nikamwambia bado somo halijamuingia vizuri akasema usjali.
Kesho yake akapiga akampa tena kuongea naye akaelewa, hata sijui alimpanga vipi, sasa huyu mtoto sikuwa na mawazo naye kabisaa je, nikimgonga sina future naye si ndio mwanzo wa kutengeza uhasama huu, na madada wa humu unaweza fanya kitu kama hiki au ulishawahi kufanya?
NOTE: Huyu dada tulikuwa tunaheshimiana sana before.
Mwanzoni alinambia nataka uwe shem wangu kwa hiyo ongea naye dogo atakuelewa tu nikamwambia poa kisha nikapotezea, sasa hiyo siku dada kanipigia tukaongea kisha akanambia ongea na dogo, nikashindwa kukataa, katika kuongea naye nikamtongoza maana mtoto mwenyewe 'sio wa nchi hii' ila mtoto akavunga, baadaye dada kanipigia anauliza vipi nikamwambia bado somo halijamuingia vizuri akasema usjali.
Kesho yake akapiga akampa tena kuongea naye akaelewa, hata sijui alimpanga vipi, sasa huyu mtoto sikuwa na mawazo naye kabisaa je, nikimgonga sina future naye si ndio mwanzo wa kutengeza uhasama huu, na madada wa humu unaweza fanya kitu kama hiki au ulishawahi kufanya?
NOTE: Huyu dada tulikuwa tunaheshimiana sana before.