Dada anagoma kumpa Kaka mwanaye, waliyezaa naye

Uswahili ni uswahilini. Tunalala wengi mno kwenye vijumba vidogo. Na huko nje, tuna-share space ndogo na wapangaji wenzetu (wanaume na wanawake). Huo mchanganyiko ndio matokeo yake haya. Wapo wanaolala na wazazi, kaka/dada, binamu, nk achilia mbali majirani kwa sababu ya ku-share space ndogo. Na wapo wanaolala tu achilia mbali kuzaa. Wenye ndoa wanapofanya tendo kwenye nyumba ambayo haina nafasi, watoto husikia na kuiga mambo ya wakubwa. Sehemu rahisi ya kujaribia ni humo ndani kwa ndani.
Uswahilini kuna mambo
 
Binamu wanaeoa (tena zamani) ni mtoto wa mjomba/shangazi. Siyo mtoto wa mama mdogo/mkubwa. Mtoto wa mama mdogo/mkubwa ni kaka/dada siyo binamu. Usichanganye madesa. Mtoto wa mama mdogo/mkubwa inachukuliwa kama laana.
Kwa wazaramo sijui ila huko kanda ya ziwa wanaoana, mimi mwenyewe ilikuwa nioe binamu yangu ila ilishindikana sababu alikuwa anasoma bado nami muda wa kuoa ulifika ikabidi nisonge mbele na aliye tayari.
 
Binamu wanaeoa (tena zamani) ni mtoto wa mjomba/shangazi. Siyo mtoto wa mama mdogo/mkubwa. Mtoto wa mama mdogo/mkubwa ni kaka/dada siyo binamu. Usichanganye madesa. Mtoto wa mama mdogo/mkubwa inachukuliwa kama laana.
Mimi pia nilishindwa kumuelewa hapo, kwa ninavyo fahamu anayeolewa ni mtoto wa mjomba au shangazi tu.
 
Binamu wanaeoa (tena zamani) ni mtoto wa mjomba/shangazi. Siyo mtoto wa mama mdogo/mkubwa. Mtoto wa mama mdogo/mkubwa ni kaka/dada siyo binamu. Usichanganye madesa. Mtoto wa mama mdogo/mkubwa inachukuliwa kama laana.
Katika kabila langu kwa mfano, mtoto wa mana mdogo/mkubwa tunaitana binamu sio kaka/dada hivyo uslazimishe jambo usilolijua. Kwetu kaka/dada i yule tu wa baba mkubwa au baba mdogo .
 
Hakuna makabila ya Waafrika ambayo mtoto wa mama mdogo/mkubwa ni binamu. Hiyo ni kulazimisha uzungu. Wazungu ndio kaka na dada ni wale wa baba na mama mmoja tu. Wengine wote ni binamu. Na baba ni baba mzazi tu. Mama naye ni mama mzazi tu. Wengine wote ni uncle ama aunt. Hakuna cha baba mkubwa/mdogo wala mama kubwa/mdogo. Kwa ushamba wetu eti siku hizi tumesoma, tunaita baba wakubwa/wadogo eti uncle and mama wakubwa/wadogo eti aunt!! Ni kutukuza ukoloni tu lakini siyo kawaida yetu.

Na hata hivyo jibu langu lilikuwa kwa kile kilichosemwa kuwa Kanda ya Ziwa mtoto wa baba/mama mdogo/mkubwa ni binamu na wanaweza kuoana. Hakuna kabila Kanda ya Ziwa ambalo watoto wa baba/mama mdogo/mkubwa ni binamu na wanaweza kuoana. Kama lipo, litaje.
Katika kabila langu kwa mfano, mtoto wa mana mdogo/mkubwa tunaitana binamu sio kaka/dada hivyo uslazimishe jambo usilolijua. Kwetu kaka/dada i yule tu wa baba mkubwa au baba mdogo .
 
Hakuna makabila ya Waafrika ambayo mtoto wa mama mdogo/mkubwa ni binamu. Hiyo ni kulazimisha uzungu. Wazungu ndio kaka na dada ni wale wa baba na mama mmoja tu. Wengine wote ni binamu. Na baba ni baba mzazi tu. Mama naye ni mama mzazi tu. Wengine wote ni uncle ama aunt. Hakuna cha baba mkubwa/mdogo wala mama kubwa/mdogo. Kwa ushamba wetu eti siku hizi tumesoma, tunaita baba wakubwa/wadogo eti uncle and mama wakubwa/wadogo eti aunt!! Ni kutukuza ukoloni tu lakini siyo kawaida yetu.

Na hata hivyo jibu langu lilikuwa kwa kile kilichosemwa kuwa Kanda ya Ziwa mtoto wa baba/mama mdogo/mkubwa ni binamu na wanaweza kuoana. Hakuna kabila Kanda ya Ziwa ambalo watoto wa baba/mama mdogo/mkubwa ni binamu na wanaweza kuoana. Kama lipo, litaje.
Wewr unataka ligi wakati mimi nimeeleza kilichopo kabla ya hao wazungu uliowataja hawajatutawala. Toka time immemorial hadi leo katika kabila langu kaka/ dada ni wale tu waliozaliwa kwa baba mkubwa na baba mdogo na ambao ndio ukoo mmoja; waliozaliwa kwa mama mkubwa na mdogo au mjomba / shangazi hao ni binamu na ni ukoo tofauti. Kama katika kabila lenu iko hivyo sibishi lakini kwetu haiko hivyo hadi leo. Mimi natoka Mara.
 
Mbna kama ni wewe mkuu??

Usiogope weka wazi tu hata hivyo huenda huyo dada yako hayupo jf.

Ni yapi yalikua mapatano yenu na huyo dada yako? Yani kisa we umekosa mtoto huko ndo unataka kumharibia dadayo ndoa yake.

Achana na mawazo ya kumchukua mwanao huyo, vipi akikwambia na wewe sio mwanao.
Na je umeenda hospitali ukajua tatizo lako ni nini?? Iweje kipindi hicho upate mtoto na sasa iahindikane hata baada ya kutoka nje ya ndoa yako? Huenda hata huyo mtoto si wako mkuu. Pole sana.
 
Mbona rahisi yeye anamchukua km mjomba,na anampa jina lake sbb mtoto baba yake hajulikano. Na kwa mkewe anamwambia si unajuq kule siyo baba yake mzazi tuishi nae hapa mtoto wa dada k. Wetu ili atufaliji.
 
Huyo alipigwa ili aleee.... Hana mtoto hapo... Kama kafeli kupata mtoto miaka 10...hamna jambo tena hapo.
 
Hakuna kabila la aina hiyo Mara - Wajita, Wakurya, Wazanaki, Waruri. Wakwaya, Wasimbiti, Wamang'ati... Labda unambie wewe Mjaluo. Hilo nitasema asili yako ni Kenya. Makabila asili ya Kanda ya Ziwa, mtoto wa mama mkubwa/mdogo ni dada yako. Binamu ni mtoto wa mjomba ama shangazi tu.
Wewr unataka ligi wakati mimi nimeeleza kilichopo kabla ya hao wazungu uliowataja hawajatutawala. Toka time immemorial hadi leo katika kabila langu kaka/ dada ni wale tu waliozaliwa kwa baba mkubwa na baba mdogo na ambao ndio ukoo mmoja; waliozaliwa kwa mama mkubwa na mdogo au mjomba / shangazi hao ni binamu na ni ukoo tofauti. Kama katika kabila lenu iko hivyo sibishi lakini kwetu haiko hivyo hadi leo. Mimi natoka Mara.
 
Mwambie huyo kaka aache kiherehere ajitulize kama alivyoamua kutulia mwanzoni.

Mkishapata changamoto ndio mnajifanya kutizama nyumba.....
 
Hakuna kabila la aina hiyo Mara - Wajita, Wakurya, Wazanaki, Waruri. Wakwaya, Wasimbiti, Wamang'ati... Labda unambie wewe Mjaluo. Hilo nitasema asili yako ni Kenya. Makabila asili ya Kanda ya Ziwa, mtoto wa mama mkubwa/mdogo ni dada yako. Binamu ni mtoto wa mjomba ama shangazi tu.
Kwa sababu unabisha kitu ambacho nina hakika nacho tena kiko katika kabila langu basi wewe endelea kuamini unavyoamini. Ila Kabila langu sio mjaluo ila ni mojawapo ya hayo uliyoyataja.
 
Back
Top Bottom