[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mleta mada umejuaje Kama sio muhusika nawakati hiyo ni Siri?
Hao ni binamu sio kaka na dada. Watoto wa ndugu wawili wa kike au mmoja wa kiume na mwingine wa kike huwa wanaitana binamu. Ndugu ni watoto wa baba mkubwa na baba mdogo.Katika mazingira fulani kaka na dada (mama zao mtu na mdogowe) wakajikuta wameanza mahusiano hatimaye kupata mtoto.
Dada alipoulizwa na wazazi wake kuhusu mimba akamsingizia mtu hewa, mtoto akazaliwa maisha yakaendelea, na huduma zinatolewa kwa usiri mkubwa sana mpaka sasa.
Wakati hayo yanafanyika Kaka mtu alikuwa tayari ana mke na mtoto mmoja mchanga.
Miaka 10 Sasa jamaa hajabahatika kupata mtoto mwingine kwa mkewe, pia kajaribu kutafuta nje ya ndoa imeshindikana kabisa, dada alishaolewa na amejaaliwa watoto wawili wengine.
Sasa Kaka anataka amchukue mwanaye aliyezaa na dada yake amlee kama mwanaye na awe sehemu ya urithi wake, lakini dada hataki kwasababu watu wanasema mtoto anafanana na Mjombaake (baba) Kwahiyo akimchukua siri itavuja,Kaka naye anatishia kutotoa msaada wowote endapo hatapewa mwanawe.
Kwenu wanaJF mnawaambia nini hawa wazazi mtu na dada yake.
Nilipowauliza wote wawili walimsingizia shetaniKwanini umezaa na dada yako???
Ni kweli,ila katika kabila lai binamu ni ndugu kabisa ni mwiko kumuoa,na hata ikitokea wakagundua mabinamu wametiana mimba lazima ichomolewe na yafanyike mambo ya kimila ili kuondoa nuksi.Hao ni binamu sio kaka na dada. Watoto wa ndugu wawili wa kike au mmoja wa kiume na mwingine wa kike huwa wanaitana binamu. Ndugu ni watoto wa baba mkubwa na baba mdogo.
Pia makabila mengi bunamu wanaruhusiwa hata kuoana mfano kabila langu.
Mkuu hayo makabila yana jumuisha wazaramo ??Hao ni binamu sio kaka na dada. Watoto wa ndugu wawili wa kike au mmoja wa kiume na mwingine wa kike huwa wanaitana binamu. Ndugu ni watoto wa baba mkubwa na baba mdogo.
Pia makabila mengi bunamu wanaruhusiwa hata kuoana mfano kabila langu.
Usiifosi wacha iendelee kutia mgomoAkili yangu inagoma kabisa kukubaliana na hili andiko. Enewei, ni jukwaa huru hili
Hapana mkuu sio watu wa PwaniMkuu hayo makabila yana jumuisha wazaramo ??
😊😊 Aongezee na iliki kidogo ili ladha iwe nzuri zaidiOngeza katangawizi. Nakasikia lakini kwa mbaaali!
Bahati mbaya sijafungua huu uzi kwenye jukwaa la mama yako,unajisumbua mwenyeweKaombe ushauri kwa Mama zenu msitusumbue
Hujawahi kusikia Siri ya serikali,je hiyo serikali ina mtu mmoja?Wewe mleta mada umejuaje Kama sio muhusika nawakati hiyo ni Siri?
Hapana mkuu, nilimquote jamaa mmoja hapo juu alisema kuhusu makabila yanayo ruhusu binamu kuoana nikauliza kama hayo makabila yana jumuisha wazaramo.Hapana mkuu sio watu wa Pwani
Kuna vyanzo vingi vya information hivyo kujua wala sio hoja unaweza kujua taarifa za mtu fulani ambaye hata hamjawahi zungumza ni vyema ukajibu tu swali kama ilivyoUmejiuliza nimejuaje?
Kwa wazaramo sijui ila huko kanda ya ziwa wanaoana, mimi mwenyewe ilikuwa nioe binamu yangu ila ilishindikana sababu alikuwa anasoma bado nami muda wa kuoa ulifika ikabidi nisonge mbele na aliye tayari.Mkuu hayo makabila yana jumuisha wazaramo ??
Sawa mkuu,amani iiwe nawe pia.Kuna vyanzo vingi vya information hivyo kujua wala sio huja unaweza kujua taarifa za mtu fulani ambaye hata hamjawahi zungumza ni vyema ukajibu tu swali kama ilivyo
Amani iwe nawe