Daah!!..... Inauma sana!!

Warren T

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
664
409
9a1269aa302c6d78460ff756b47ee663.jpg
 
Kwani leo hii si kitu hicho hicho ndo huwa kinafundishwa mashuleni mwetu?? Au umeweka attention yako kwenye hiyo picha kuliko ujumbe(Message)?

No no ndiyo maana tunafundishwa critical analysis, hayo ya kumemorise ni elimu ya kizamani. Lakini si kila mtu anavuna alichopanda shule.
 
No no ndiyo maana tunafundishwa critical analysis, hayo ya kumemorise ni elimu ya kizamani. Lakini si kila mtu anavuna alichopanda shule.
Haya ya kumemorise ni elimu ya zamani?? Form one hadi form six mfumo ukoje???..... Atakaetoka ni aliemeza, hiyo ndiyo sylubus ya form one hadi six ilivyo!!!
 
Hizo ni school of thought. Zina mwendelezo mpaka unawakuta social constructivism mpaka akina multiple intelligence theory akina gardiner hao ndo recently. Kimsingi repitition memorising and claiming ndo basics in learning.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom