Inauma sana na haivumiliki

Marcy

JF-Expert Member
Aug 12, 2013
1,530
3,593
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Never fall in love with a dreamer..! Atakuumiza sana
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Never fall in love with a dreamer..! Atakuumiza sana
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Njoo na Mimi niinjike kichwa changu hapo naitwa onjaonja Mzee wa kugonga milango iliyofungwa sana
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Mwache aende zake mkali
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
My dear, mwachie Mungu. Mungu ndiye mwamuzi wa haki.
Hayo mengine achana nayo.
 
Back
Top Bottom