Daah Ajira ngumu aisee!

ila umepata experience ya kutosha kwa kuzunguka na kupiga saund walinzi na ma PS wa mabosi. Hongera mkuu .
 


Mambo gani ya kukaa sawa kijijin mkuu?
 
pole! umenikumbusha mbali sana.sio peke yako uliyepitia hayo.wapo wengi na mie mmoja wapo.Nakushauri nenda na cv zako office mbalimbali ukaombe kujitolea bure na uwasisitize hautaki mshahara zaidi ya pesa ya nauli na lunch tu.nilijaribu strategy hiyo imenisaidia sana,japo sijafika nilikodream kufika lakini kwa njia hiyo nimepata kazi sehemu na sio sawa na kukaa home.
 
Unajua ma-ujanja ni kusifu na kumwabudu Mungu. Kipengele hiki watu wanakiona cha kishamba au kilichopitwa na wakati lakini kinafungua vifungo vingi sana, kinakupa kazi unayotaka, kinakuwezesha wewe kuishi kwa kujiamini.

Wacha kumchanganya mwenzako wakati yupo serious.nadhani ungemwelekeza vizuri aanzeje kumsifu na kumwabudu Mungu ili afanikiwe usiassume kwamba anajua.unataka kuniambia watu wote wanaojua kumsifu na kumwabudu Mungu hawajapitia hiki kipindi?wamepita wengi,mie mmoja wapo. Na ufahamu kumsifu na kumwabudu Mungu sio maujanja.Tunamsifu na kumwabudi kwa sababu Mungu ametupa neema hiyo.
 
Nashukuru kwa mawazo yenu jamani. Kuhusu issue za Mungu....yeye ndio kimbilio langu siku zote katika maisha yangu. Najitahidi sana kusali...nimesoma seminary...na kwasasa najitahidi sana kuutafuta uso wa Mungu na faraja kubwa kutoka kwake.
 
duuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Pole jamaa nahisi utakua umelogwa kasafishe nyota na pia onana na jacob stephen (jb) mtengeneze movie itauza kinoooma!!!!!!!!!!!!!!
 
naku PM. unipe strategy.
 
Pole sana ndugu na ukishapata urudi utuambie ulitumia mbinu gani ya mwisho.
 
Ndugu kb52, mimi sio nabii lakini ninaona kitu kikubwa kiko mbele yako ambacho kukifikia haihitaji uwe umeajiriwa bali umejiajiri.

Nitarudi badae kidogo..
 
pole sana mkuu...i hope mamb yako vizuri now
 
Mambo ni magumu kama unavyosema lakini kamwe hautakiwi kukata taama na kurudi nyuma katika utafutaji wa kazi kwani huwezi jua kesho nayo ni siku so inabidi kukubali kuendelea kuvumilia na kujifunza kukubaliana na hali halisi ilivyo
 
Mku I hope ulishafanikiwa kwenye hii safari yako ya matumaini.
 
Embu mtafute tajiri wa Tanzania mzee bakhresa hasa mwezi huu ajira utapata
 
Itakuwa keshapata kazi nzuri yenye mshahara na marupurupu mazuri mkuu kb52 manake ni muda sasa umepita...mkuu kb52 njoo utuambie umefanikiwa au laa!!?
 
mim hua najichomeka tu kwenye interview hta km sijaitwa ila lazma niwe nimeomba hyo kazi,nlizamia kazi flan mahali nkaulizwa jina lako nani nkawambia akasema mbna halipo nkamwambia sijui sasa akaniambia msubiri kwanza hr aje,alivokuja nlimwambia mlinipigia simu mbna tena mnasema jina langu halipo,badae akasema nisubiri mwishoni nlipga interview mkuu japo sikufanikiwa wakati mwingine unatakiwa kuwa mafia tu.
 

njoo kwenye maombi kanisa la eagt kwa mchungaji katunzi mtoni mtongani karib na reli jtano had jmoc saa kumi jpili saa 3 asubuh kama wamekutupia uxhawi utaondoka kwa jina ka yesu nimeona dada mmoja alikuja miaka 5 anasaka job kumbe wamemroga asipate kazi baada ya maombi sasa yuko kazini mungu anaweza usikate tamaa njoo kwa maombi munguyupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…