Naamini Mungu mwenye huruma, mwingi wa baraka na rehema, alimwazesha Da Sophy kajifungua salama...
Nakumbuka mara ya mwisho alikuwa hapa akisema kuwa mimba imepitiliza kidogo.
Kwa anayefahamu aliko amwambie tunammiss, tena tuma ham ya kumpa hongera zake. Ajitokeze...