hii mada inajadili elimu au walimu!???Unadhani ishu za maana ni zipi zaidi ya elimu
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
kwamba hela ni ndogo au vipi mkuu ebu njoo na habari kamili kwani aijakamilika.
Hapana! hawapaswi kuadhibiwa, mwalimu, wajua mimi mwenyewe ni mwalimu by professional nimekaa huko kwa 6 years lakini tatizo kubwa la walimu walio wengi hawajitambui, waoga katika kusimamia maslahi yao... mimi nilishindwa kuwa muoga nikaamua bora niepushe balaa mapema.
Ila najisifu kuwa mwalimu, na napenda kufundisha hasa....
hii mada inajadili elimu au walimu!???
kwamba hela ni ndogo au vipi mkuu ebu njoo na habari kamili kwani aijakamilika.
kuna elimu bila walimu au na wewe ni wale wale?
Unaweza kuongelea elimu bila walimu acha ujinga
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
kuna mahali umetusiwa best??
au unayataka??
Dada, nakusalimu...