matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,960
ts true mshkaj kabadil game vya kutosh lakin uoni ya kwamba one atakuja kuacha game kisa mziki anaofanya ni kama anajifurahisha.coz hapat show,no airtime.so utakubaliana na mimi kuwa one hana zali coz hawez kuchukiwa na media mbal2.muzki anaweza ila hana zali kama jaymoe&solo.
ndio maana nakwambia jifunze muziki dogo...msanii mkali ni yule anayefa nya mziki mzuri sio anayepigwa sana redioni.....na angekuwa anafanya muziki wa kujifuraisha leo hii usingesikia anazungumziwa umu na great thinkers tena kwa kukubalika..
na swala la airtime anapata sema na redio chache zinazoweka pembeni ugomvi binafsi na kazi,na media nyingi za kibongo zinafuata mfumo wa redio moja ndio maana usipopewa airtime na wao na redio zingine zinafuata mfumo huyo huo wa upigaji nyimbo...kiufupi ni kwamba kuna mgogoro kati ya duke na tamaduni muzik vs mawingu ndio maana usikii nyimbo za mlab kwa hao jamaa....by the way labda uniambie wewe ni msanii gani wa rap kizazi hiki mwenye zali na mafanikio....??
ndio maana wajanja huwa hawaangaki na maredio yenu ya fm,coz hakuna muziki mzuri kama zamani ni kelele tu....tafuta album ysa One "SOGA ZA MZAWA" utaelewa uyu jamaa ni noma.