Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,570
- 16,017
GTs,
Wananzuoni, Great thinkers, eleweni adui yetu pamoja ni huyu mwenyekit wetu ambaye hakuchaguliwa na wala hakupigiwa kura na kamati kuu, hivyo hata sisi wana CCM hatumtambui na kura hatukumpigia kabisa.
Tunaomba tuelewane sisi siyo adui wa watanzania na wala siyo adui wa GEN Z, bali tunaunga mkono maandamano ya kumtoa huyu muuaji wa vijana na wenzetu wasiokuwa na hatia.
Ombi letu msituone adui, tuungane kuikomboa Tanganyika yetu.
Nawasilisha kwa niamba ya wana CCM wazalendo
Wananzuoni, Great thinkers, eleweni adui yetu pamoja ni huyu mwenyekit wetu ambaye hakuchaguliwa na wala hakupigiwa kura na kamati kuu, hivyo hata sisi wana CCM hatumtambui na kura hatukumpigia kabisa.
Tunaomba tuelewane sisi siyo adui wa watanzania na wala siyo adui wa GEN Z, bali tunaunga mkono maandamano ya kumtoa huyu muuaji wa vijana na wenzetu wasiokuwa na hatia.
Ombi letu msituone adui, tuungane kuikomboa Tanganyika yetu.
Nawasilisha kwa niamba ya wana CCM wazalendo