D09122025 wana CCM tunaunga Mkono 💯

D09122025 wana CCM tunaunga Mkono 💯

Nani anayeteka na kuua raia wanchi hii?
Kikundi cha Abduli na Mafwele wakishirikiana na ndugu Muliro kwa maelekezo ya IGP na DGIS, na CCM mtandao na wala siyo sisi wana CCM wazalendo
 
Adui wa Tanganyika sio Samia, sio CCM, ni mfumo tulioulea wenyewe. ....... Kauli yako hii usiikane.
Ni kweli ninabaki na kauli yetu, tukimtoa Samia tusidhani tumemaliza tatizo lazima tufumue mfumo wote kabisa tuwe na katiba mpya, tume huru na misingi ya usawa. Ndiyo maana maandamano ya D9 yalenge mfumo siyo mtu.
 
GTs,

Wananzuoni, Great thinkers, eleweni adui yetu pamoja ni huyu mwenyekit wetu ambaye hakuchaguliwa na wala hakupigiwa kura na kamati kuu, hivyo hata sisi wana CCM hatumtambui na kura hatukumpigia kabisa.

Tunaomba tuelewane sisi siyo adui wa watanzania na wala siyo adui wa GEN Z, bali tunaunga mkono maandamano ya kumtoa huyu muuaji wa vijana na wenzetu wasiokuwa na hatia.

Ombi letu msituone adui, tuungane kuikomboa Tanganyika yetu.

Nawasilisha kwa niamba ya wana CCM wazalendo
Jambo jema hili, CCM kuna mpasuko mkubwa sana dear, inshaAllah tuangalie nchi kwanza vyama baadae. Lissu aachie huru.
 
GTs,

Wananzuoni, Great thinkers, eleweni adui yetu pamoja ni huyu mwenyekit wetu ambaye hakuchaguliwa na wala hakupigiwa kura na kamati kuu, hivyo hata sisi wana CCM hatumtambui na kura hatukumpigia kabisa.

Tunaomba tuelewane sisi siyo adui wa watanzania na wala siyo adui wa GEN Z, bali tunaunga mkono maandamano ya kumtoa huyu muuaji wa vijana na wenzetu wasiokuwa na hatia.

Ombi letu msituone adui, tuungane kuikomboa Tanganyika yetu.

Nawasilisha kwa niamba ya wana CCM wazalendo
Je hili si lako pia? Mbona yanapingana?

 
Je hili si lako pia? Mbona yanapingana?

Nakubaliana Mshana Jr point yangu iko pale pale. Kama hiki kizazi chenye kuishi mfumo wa ufisadi siyo suluhisho la matatizo ya kitaifa. Ni muhimu sana wasijisahau kudhani wanaweza kuwa solution. Umoja wa kitaifa na kuhusisha makundi yote ktk jamii ili kuleta maendeleo
 
GTs,

Wananzuoni, Great thinkers, eleweni adui yetu pamoja ni huyu mwenyekit wetu ambaye hakuchaguliwa na wala hakupigiwa kura na kamati kuu, hivyo hata sisi wana CCM hatumtambui na kura hatukumpigia kabisa.

Tunaomba tuelewane sisi siyo adui wa watanzania na wala siyo adui wa GEN Z, bali tunaunga mkono maandamano ya kumtoa huyu muuaji wa vijana na wenzetu wasiokuwa na hatia.

Ombi letu msituone adui, tuungane kuikomboa Tanganyika yetu.

Nawasilisha kwa niamba ya wana CCM wazalendo
CCM ipi bado unaizungumzia wewe?

Inasikitisha kwamba bado unapata ujasiri wa kuja hapa na kuzungumzia chama ambacho kimetumika kuwaumiza na kuwaua waTanzania!

Bado kuna matumaini gani ndani ya chama kama hicho?

Kama Tanzania itapona, ni lazima CCM ife.
 
Kaeni nyumbani mle madabudabu na watoto zenu, mtafyatuliwa bure mfe kindezi. Tulieni nyumbani
 
Back
Top Bottom