Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Kimenuka Wakuu wale wa kusali wasali hatua za kumwondoa Kim zimepamba moto Chanzo ni star TV na Sauti ya samadu Hassani Habari Za kimataifa
Mkuu Kuna mkataba Mpya wameingia rais wa India kaenda marekani Leo kwa ziara ya Siku kadhaaIndia anahusika vipi tena??
Yetu macho mkuu sisi Huku tupo kama mashabiki wa mpiraNgoja tusubiri , Ila Kim mbona kitambo wanakuwa kama wanamuogopa vile
Wahindi nao wamoIndia, baada ya US ni rafiki #2 wa Israel.
Hawamwogopi Kiongozi. Wanamlia timing tu ili "kuepusha madhara" yanayoweza kutokea kwa wasiohusika. Kumbuka ni kichaa yule; akizidiwa anaweza hata kurusha kombora East Africa ili kuwavuruga na kutafuta huruma. Kumchinja kobe inahitaji timing.Ngoja tusubiri , Ila Kim mbona kitambo wanakuwa kama wanamuogopa vile
Wako vizuri sana. Mchina ni #3 kwa urafiki na Israel.Wahindi nao wamo
Hebu eleza kitu kilichokamilika Mkuu.Kimenuka Wakuu wale wa kusali wasali hatua za kumwondoa Kim zimepamba moto Chanzo ni star TV na Sauti ya samadu Hassani Habari Za kimataifa
Mkuu kukamilika kivipi unataka nikutafunie ?Hebu eleza kitu kilichokamilika Mkuu.
Wana nini?India hawana Raising toha hiyo kauli
poa poa mkuuMkuu Kuna mkataba Mpya wameingia rais wa India kaenda marekani Leo kwa ziara ya Siku kadhaa
India haina rais,ina PMKimenuka Wakuu wale wa kusali wasali hatua za kumwondoa Kim zimepamba moto Chanzo ni star TV na Sauti ya samadu Hassani Habari Za kimataifa