Wabongo hatuwezekani kwa ndumba za masimango.Bongo asingeweza kuishi maana walishaanza kumsimanga.
Wabongo hatuwezekani kwa ndumba za masimango.Bongo asingeweza kuishi maana walishaanza kumsimanga.
Ningekua mwanaume ningetafuta mke kama Cynthia
Cynthia kavaa short anacheza na Rick RossYupo kwenye hii video ya Ace Hood. Hebu iangalie uone kama utaweza kumtambua ni yupi hapo kati ya hao vixens.
Angel Lola Luv pia alikuwemo kwenye hii video. But which one is Cynthia?
Africa was well represented here....Cynthia...Tanzania. Angel Lola Luv....Ethiopia. Akon...Senegal.
Cynthia kavaa short anacheza na Rick Ross
Hivi yuko wapi huyu dogo? Aje sasa naye nimtese manakeRichard Mziray alitesa sana wakati anaingia bongo,hadi alikuwa na Maybach hahahaaaa.
Mwanza secondary product, tulikuwaShe is a beauty!
Mwanza secondary product, tulikuwa
Alifanya nini USA?Bongo asingeweza kuishi maana walishaanza kumsimanga.
Walifukuzwa. Mume wake alikua anawaibia wazunguAlifanya nini USA?
Heee...kile kikaka kiserengeti? Kinaonekana hata suraWalifukuzwa. Mume wake alikua anawaibia wazungu
Alivyofika bongo na yale magari nadhani alijua pesa hazitaisha eeeAlifanya nini USA?
Hebu nijibu swali kwanza!Alivyofika bongo na yale magari nadhani alijua pesa hazitaisha eee
Rich ule mwili umeisha jamani
Alikwiba pesa yeye na kaka yake wakaja bongo na huyo dada,kwa hiyo us wanaiona kwenye tv tu siku hiziHebu nijibu swali kwanza!