Cydia katika iphone 4 imecrash naomba msaada tafadhali

Keyshia

Member
Feb 24, 2011
63
31
Wndugu wapendwa naomba sana msaada maana nimechanganyikiwa, nilikuwa na install application kutoka cydia, ikakubali kuingia sasa kila nikitaka kurestart springboard inakatakaa kurestart na application zote zimecrash cwezi fanya chochote naomba msaada tafadhali irudi kama kawaida!
 
Jaribu kubonyeza kitufe cha kuzimia simu kwa muda wa sekunde 4 halafu usiachie bonyeza na menu kwa sekunde 15,halafu achia kitufe cha kuzimia endelea kubonyeza menu mpaka simu itazima,halafu iwashe tena baada ya sekunde kadhaa uone kama itakubali,ikigoma rudi tena nikuelekeze njia nyingine.
 
bado haikubali inarudi springboard na nikiclick ok inatoka bt nikitaka kufungua applications zote zinagoma, nimechanganyikiwa jamani
 
ni tweak gani hiyo umeInstal,,iphone gani hiyo na ipo katika firmware gani?
 
nimeinstall Mcleaner kutoka cydia, ni phone 4 hiyo firmware ndo hata cjui
 
ukitaka kujua firmware yako nenda kwenye settings/general/about ukiangalia angalia ndani ya about utaona kitu kinaitwa version.Hiyo ndo firmware ya iphone yako. usiwe confused ukiona Modem Firmware ambayo wameiandika chini kabisa unapozidi kushuka..hiyo ni kitu kingine..
sasa mimi ningependa kujua kwanza kama ulifanya any update kwa kupitia itunes yako maana hilo linaweza likawa tatizo pia..
kama si hivyo basi andika version yako na modem firmware yake hapa alafu maelekezo mengine yatafuata kulingana na utakachokiandika
 
nimeinstall Mcleaner kutoka cydia, ni phone 4 hiyo firmware ndo hata cjui
mjntl4.png

Mcleaner inaonekana ina matatizo ya kiufundi,,kama lengo ni kutengeneza blacklist/white list au kuBlock calls na sms'z kuna hizi alternative tweaks zote zinafanya kazi hiyohiyo (( iBlacklist, call blocker na kuaidial ))..modify hiyo Mcleaner kwenye cydia alafu uiRemove!! kumbuka pia kuInstal Crash Reporter itakusaidia kugundua ni tweaks gani zinafanya springboard icrash,,
 
tatizo ni kuwa applications zote zimecrash cwezi hata kufungua settings au cydia ila naweza kupokea cmu bt kupiga au kuandika sms cwezi kwan applications zote zimecrash hazitaki kufunguaka
 
version ni 5.1.0, cjafanya any update zaid ya kuingiza hiyo tweak bac
 
nashukuru kwa msaada wako nimesha irestore na nashukuru ile app imefutika ingawa na kuna zingine zimefutika c neno ntazipata kwa app store imekuwa updated kwa ios 5.1.1 bt cha kushangaza cydia ziioni sasa cjui nifanye nn irudi? thanx sana kwa msaada wako mpk sasa
 
Wapendwa ahsanteni sana imekubali na iko poa sana, mungu awabariki saana! thanx again im soo soo Happy!
 
Wndugu wapendwa naomba sana msaada maana nimechanganyikiwa, nilikuwa na install application kutoka cydia, ikakubali kuingia sasa kila nikitaka kurestart springboard inakatakaa kurestart na application zote zimecrash cwezi fanya chochote naomba msaada tafadhali irudi kama kawaida!
Mrejesho
 
11 years ago mkuu na cydia ishagajifia huko na mambo ya jailbreaking. Dah wish muda ungerudi nyuma kwakweli

jamaa bangi huyo,mhusika atakuwa na iphone 15 saa hizi.

na hata ID huwenda aliishabadili au hatujo naye tena.
 
Back
Top Bottom