Cyber security

Cyber security

Over 70% of Washington DC's CCTV Were Hacked Before Trump Inauguration
Dunia inabadilika kitechnolojia Na tunaona hata apa nchini mwetu kuwa Na kifaa cha computer either general purpose au embedded(kwenye baadhi ya vifaa kama simu Na digital camera) ni dili sana kwa vijana Na wazee.Lakini je nini huwa kinatokea ambapo technolojia imeenda mbele kuliko uelewa wa watu?Nchi imekuwa na sifa ya kuwa kisiwa cha amani lakini je serekali Na wananchi wake inachukua tahadhari gani kujilinda Na aina hii mpya ya kivita ambayo haiitaji makomando Bali watu wenye uelewa mkubwa ?Je watu wanatambua kuwa antivirus nyingi cku hzi wanazotumia zinashindwa ku detect sophistacted malware?
 
Over 70% of Washington DC's CCTV Were Hacked Before Trump Inauguration
Dunia inabadilika kitechnolojia Na tunaona hata apa nchini mwetu kuwa Na kifaa cha computer either general purpose au embedded(kwenye baadhi ya vifaa kama simu Na digital camera) ni dili sana kwa vijana Na wazee.Lakini je nini huwa kinatokea ambapo technolojia imeenda mbele kuliko uelewa wa watu?Nchi imekuwa na sifa ya kuwa kisiwa cha amani lakini je serekali Na wananchi wake inachukua tahadhari gani kujilinda Na aina hii mpya ya kivita ambayo haiitaji makomando Bali watu wenye uelewa mkubwa ?Je watu wanatambua kuwa antivirus nyingi cku hzi wanazotumia zinashindwa ku detect sophistacted malware?
 
Umenikumbusha russia walichoifanya usa mwaka jana...umenikumbusha jinsi wa korea na wachina wanavyompasua kichwa usa kwenye uwanja wa hacking!!
 
What is androidRAT??
androidRAT ni kifupi cha Android remote access trojan. Kwa kirefu zaidi ni trojan ambaye anakupa access kwenye Android device yeyote Ile Na ana run kwenye background hvo cyo rahisi kuwa detected.Mfano kama unataka upate contacts za mtu, messages zake Uzi intercept,umrekodi kutumia front camera yake hyo Ndo kazi yake.lakini hayuko limited hapo tu source code yake iko github unaweza modify afanye kitu chochote(algorithmically conceivable)
 
siyo kweli USA ''NSA'' wana monitor internet dunia nzima,na mwaka jana mwishoni zilitolewa data kwamba marais wa nchi 120 duniani walikuwa monitored na CIA

NSA na CIA wanafuatilia nyendo za watumiaji internet kwa nchi nyingi sana ukiachilia mbali nchi ambazo wamefanya censor ship kama china,North Korea nk,kila unachofanya kwenye internet fahamu CIA wanaku monitor.

hivi unafahamu ni kwanini Tor browse na operating systems za ki ulinzi kama Tails,Qubes nk wana achia updates kila kukicha?Ni sababu CIA kila siku wana hack na kutafuta security flaws kwenye systems hizo ili kuwa deanonymize watumiaji wa system hizo ndio maana hizi security browsers na OS wanafanya updates kila mara

inakuwaje unasema interms of skills USA yupo nyuma kuliko nchi ulizozitaja?

wakati data zenu zote NSA wanafanya monitoring halafu CIA ndio wanao wakamata watukutu wa mitandao kwa kuwa deanonymize

NSA wana hack system za serikali za nchi karibia zote duniani kufuatilia nyendo za nchi mbali mbali na wana hack watumiaji wa internet dunia nzima kufuatilia nyendo zao

laiti ungefahamu NSA na CIA wanavyofanya mambo zao usingesema haya mambo.

kwenye hacking hakuna mbabe sababu kila system inayo loophole lakini USA yupo mbali sana na NSA kila siku wanawafanyia monitoring

kila siku NSA wanatizama na kuachia updates kwa siku mashambulizi mangapi yamefanyika duniani na nchi gani imeshambuliwa sana na imeshambuliwa na nchi gani sana..

nterms of cyber hakuna wakuifikia CIA na NSA
Bro mbna unachanganya ma file mara unaanza mambo ya monitoring kwamba sio kweli alfu baadaye unasema ni kweli.Paradoxes bro.Alfu nilivyosema skills nimeongelea hacking as in exploiting systems holes cyo signals intelligence.Marekani anamuelewa sana Russia ndo maana Vita vya pili vilipoisha alikimbilia kuchukua codebreakers wa kijerumani ku break za Russia.All in all nilivyosema skills nili judge based on public incidents sipendi ku consider covert operations maana zinaweza kuwa propaganda au conspiracy theory
 
NSA hamna wa kumfikia akati shadow brokers wali breach tools za NSA ??Labda ueleze vzuri kama ni mambo ya code breaking ntakukubalia Ila systems exploitation Na mashaka kidogo kuwa kila kitu kinatoka kwao.Maybe wanaweza kuwa supreme maana wao wako covert sana Ila historia inaonyesha kuwa marekani ni nchi ya propaganda sana so cwezi reach 100% conclusion.Labda kama una affirmative data ya utoe link
 
Back
Top Bottom