Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,732
- 10,813
Kuna tangazo la nafasi za ukatibu cwt wilaya,mmetoa majina ya walimu walioomba nafasi hizo kwa usaili tarehe 11th Novemba.
Kuna walioomba ambao majina yao hayapo kwenye hiyo list yenu.
Kuna mchujo ulifanyika kwenye ngazi ya wilaya/Mkoa?
Msaada katibu cwt Taifa.
Kuna walioomba ambao majina yao hayapo kwenye hiyo list yenu.
Kuna mchujo ulifanyika kwenye ngazi ya wilaya/Mkoa?
Msaada katibu cwt Taifa.