Kazi nzito hiyo, zile DIV 4 za kuchechemea, halafu wagome? wakifukuzwa ni nani atawaajiri?
Macho ya Walimu yako kwenye 10,000 za sensa nani atagoma muda huu? Baada ya sensa mitihani ya Std 7, inafuata ya NECTA F IV na Zonal Form II...Kisha kazi maalum mwezi Novemba hao wagomaji hawataki hizi zote? Labda kama watatoka nje ya nchi
Hizo chance zina watu mzee watakaoenda kufanya SENSA ni walewale Kama ilivyo kwenye kusahisha na kusimamia mitihani usipokuwa Mtu wao hupati hizi deal so kwa wengine sio issue... Mkuu wangu alishanipendekeza DEO akanikata, hizi chance wanapewa kwa kujuana..sio ka hawagomi kuhofia hizo kazi coz hata tusipogoma wanapewa walimu walewale, tatizo kuu hapa ni CWT na sio vinginevyoMacho ya Walimu yako kwenye 10,000 za sensa nani atagoma muda huu? Baada ya sensa mitihani ya Std 7, inafuata ya NECTA F IV na Zonal Form II...Kisha kazi maalum mwezi Novemba hao wagomaji hawataki hizi zote? Labda kama watatoka nje ya nchi
Na wewe na Familia yako Dhaifu
madame ww mticheri nn?maana mapovu yalivyo kuruka! Namm nakusaidia huyojama dhaifu mwenyewe na ukoo wake wote!
Walimu wametutoa mbali acheni dharau. Nyie mnaodharau mna elimu ya kudesa, vichupi na za kafteria nani hajui. Kuelimika ni kustaarabika wandugu.