mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Acha dharau wewe.
Mbona wewe unalishwa na Mwanamke wako,
ukifukuzwa nani atakupokea.
madam mbona huwa unachukia sana mtu akiponda ualimu?????and not other profeshen??? just asking....
Acha dharau wewe.
Mbona wewe unalishwa na Mwanamke wako,
ukifukuzwa nani atakupokea.
madam mbona huwa unachukia sana mtu akiponda ualimu?????and not other profeshen??? just asking....
amekulia kwenye ualimu na ameurithimadam mbona huwa unachukia sana mtu akiponda ualimu?????and not other profeshen??? Just asking....
amekulia kwenye ualimu na ameurithi
Tunategemea tamko lenu cwt kama serikali haiongezi mshahara tugome acha mgomo baridi tuliofanya zamani,tunasubiri kwa hamu sana.
Mgomo upo pale pale hakuna kitakachobadilisha na huu utakuwa practically oriented maana kama theoretically mgomo bado unaexist na hautafika kuisha labda system ibadilike huo ndio ukweli wenyewe wenye uchungu kama MADAME B kuhusu walimu ni wengi kwani tumekulia huko na tumeurithi si kwa kufeli mitihani ni kipaji tu kama watoto mafisadi ni mafisadi TUMECHO NA LIWALO NA LIWE KAMA PINDA ANAVYOTUAMBIA
Humohumo Mkuu.
Mgomo uko palepale.
LIWALO NA LIWE.
Tunafundisha kwa kipaji na si kwa dhiki.
Kama ingekuwa ni tamaa basi ningebaki ktk Wizara nyeti niliyokuwa nafanyia kazi awali.
Acha dharau wewe.
Mbona wewe unalishwa na Mwanamke wako,
ukifukuzwa nani atakupokea.
Na wewe na Familia yako Dhaifu
Walimu wametutoa mbali acheni dharau. Nyie mnaodharau mna elimu ya kudesa, vichupi na za kafteria nani hajui. Kuelimika ni kustaarabika wandugu.
Mkuu slufay wapashe hao wanaojiita wasomi.
Wangekuwa wasomi wasingechangia kwa kebehi.
Tena Vi-pichu vilivyotoboka.
Nimetoka kifungoni na najua maumivu ya kufungiwa, nawashauri hii topic muiache manake mnakoelekea mtalishwa BAN.
Sio hvyo mkuu.
Unajua Twende mbele na kurudi nyuma hakuna Profeshen iliyo so cool na Imara kama walimu.
Bila walimu nadhani Mafisadi,Madaktar,Marais,Wabnge, na Mshenz wa aina yeyote asingeelimika.
Ila utakuta mtu kang'ang'ania Post inayomuhusu mwalimu mpaka Mshipa wa Mk***u unamtoka.
Halafu bora ajue kinachoendelea,
hajui Ba wala Be ilimradi na yeye aonekane 'Up2 dated' ktk Uchangiaji,
kumbe ni Mshamba tu asie jua Kuc**m*a.
mysteryman naomba niishie hapa,
Maana nackia harufu ya BAN!!
:israel::israel:
Kweli hii serikali ni sikivu .Rate ya wanaojiunga darasa la saba bilakjua kusoma na kuandika inazidi kuongeza,aslimia 95 ya wanaomaliza kidato cha 4 either wanapata DIV4 chafu au zero, kidato cha pili mwaka jana kama ule utaratibu ewa kurudia ungekuwepo si chini ya 80% wangerudia .Wanihitaji indicator hipi wajiridhishe mgomo haupo.KILICHOPO KWA SASA NI mgomo baridi ambayo great impact yake just few years to come itaoonekana dhahiri bin shairi.HADI KUFIKIA KESHO HATA KAMA TAMKO LISITOLEWE MGOMO UPO PALE PALE .WANACHEZA NA MADAKTARI WA AKILI NA AFTER ALL WANACHIMBIA KABURI WAO WENYEWE 2015 HAWA FAILURES WOTE NI WAPIGA KURA NA KUFELI KWA MCHAWI WANAMTAMBUA.LET`S WAIT AND SEE
source:mimi mwenyewe nipo kwenye field
Hizo chance zina watu mzee watakaoenda kufanya SENSA ni walewale Kama ilivyo kwenye kusahisha na kusimamia mitihani usipokuwa Mtu wao hupati hizi deal so kwa wengine sio issue... Mkuu wangu alishanipendekeza DEO akanikata, hizi chance wanapewa kwa kujuana..sio ka hawagomi kuhofia hizo kazi coz hata tusipogoma wanapewa walimu walewale, tatizo kuu hapa ni CWT na sio vinginevyo
Walimu waoga sana! Hawawezi kugoma wanaogopa pori la mwabepande!
naanza kushindwa kutofautisha uwezo wa kufikilia wa baadhi ya ember wa FB na JF