naona umeng'ang'ania udini sijui ili upate nini.....muulize huyo sungura aseme ni dini gani inayoruhusu mbunge wa viti maalum anayewakilisha wanawake akaruhusiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mwanamke mwenzie?.udini tuu huu. Eti anavaa kilemba? Acheni udini huo chadema
Hapana udaku hapo BEN. nimesikitika tu kuona jinsi gani umeshiriki kutaka kumtetea mtu ambaye JOSEPH KONI amesema hapa kuwa ameshiriki kugawa uroda kwenye gari.
duh. BEN nasikia huyu SUNGURA ni mjumbe wa BAVICHA, baraza ulilokuwa unataka KULIONGOZA?.
kama ndivyo hivyo basi mshukuru mungu sana walikuengua manake ni kichefuchefu kuwa na vijana wa aina ya mbunge huyu....any way samahani kama nimekukwaza.
mimi nimeolewa na ninajiheshimu..sio kama mbunge huyo anayeweza kulala kitandani akiwa uchi wa mnyama na mume wa mwanamke mwenzie...
Namfahamu vizuri sana huyo binti.
jina lake sahihi nio MRASI na hilo sabrina alianza kulitumia baada ya kufeli darasa la saba.
alisomeshwa na AIDAN NDOLWA kinondoni MUSLIM na baadae zanzibar university.
alianza uhusiano wa kimapenzi na ANTHONY KOMU mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA mwaka 2008 mpaka sasa.
Mwaka 2010 alizawadiwa UBUNGE wa viti maalum
Kumbe unamfahamu vizuri, si utuwekee CV yake hapa?Hapana udaku hapo BEN. nimesikitika tu kuona jinsi gani umeshiriki kutaka kumtetea mtu ambaye JOSEPH KONI amesema hapa kuwa ameshiriki kugawa uroda kwenye gari.
duh. BEN nasikia huyu SUNGURA ni mjumbe wa BAVICHA, baraza ulilokuwa unataka KULIONGOZA?.
kama ndivyo hivyo basi mshukuru mungu sana walikuengua manake ni kichefuchefu kuwa na vijana wa aina ya mbunge huyu....any way samahani kama nimekukwaza.
Hivi watu wakiambiwa waandike CV ndo hiwa wanaadnika hivi? No wonder watanzania tumekuwa tukifeli kila sehemu! Maana sioni mtu kama huyu akienda kwenye interview atawasilisha CV gani?
Naona sasa umeamua kumwaga CV yake.... Endeleeeeeeeeeeaaaaaaaaaaaaaaaa!mimi nimeolewa na ninajiheshimu..sio kama mbunge huyo anayeweza kulala kitandani akiwa uchi wa mnyama na mume wa mwanamke mwenzie...
Kwa nini iwe Sabrina Sungura.Let us stop gossip
eumb,Ni mmoja ya wanawake wachache jasiri waliojitokeza hadharani na kijitambulisha Kama wanacdm, don't discourage them!!
Dada kwa hoja yako nadhani Chama kitajiangalia na wanachama wataamka kuona kama kuna aina yoyote ya mambo kutoenda vizuri kwa wabunge hawa wa viti maalum. Si issue kuwepo kwao ila wamepatikanaje, kwa sifa zipi zenye maslahi kwa uhai wa chama 100-500 years to come? siyo wawekwe tu kwa kufurahisha wau fulani ndani ya chama.
Pia kwa wote wanao-attack hoja ya INNO nadhani watulize vichwa na kuatafakari nini anajaribu kulenga katika hoja yake!!!
Mawazo kama haya yakiachwa yayeyuke na kuonekana kama ni majungu yatakuwa mwiba baadaye kwa chama zaidi ya wabunge wenyewe watakavyokuwa mwiba na mizigo kwa chama hapo baadaye. Ni nadra sana kupata mawazo mbadala kama haya.
Kwa wenzetu magamba ndo kuna majungu, CDM ni ukweli na haki ahata pale maslahi ya mtu yanapohatarishwa haki lazima isimame na ukweli.
Nasema ASANTE dada INNO kwa hoja yako mabadala.
mbona mambo yote yapo hadharaniNaona sasa umeamua kumwaga CV yake.... Endeleeeeeeeeeeaaaaaaaaaaaaaaaa!
Inocensia,Nafikiri ujumbe umefika katika kamati ya uteuzi wa viti maalumu ya CHADEMA. Hili suala si la kupuuza kama mtu hafai na yupo kwenye mapambano obviously atakuwa anapunguza nguvu za kushawishi vitu vya msingi badala yake anakuwa mtu wa kusaidiwa! Hivyo, naona Inocensia ana hoja ya msingi!
Upo sahihi. Ukweli ni kama kwinini.
tatzo watu walitaka kuhamisha upuuzi wa kiraza kama huyu sungura kuupeleka kwenye chama.Uko sahihi kabisa, ningependa Kitila Mkumbo achukue notes, haipendezi kuwe na hizi kasoro, tunaelewa kuwa sio kila mahali mtapatia kwa asilimia 100 ila kwa hizi kasoro kunatakiwa umakini wa ziada katika kuzishughulikia
Acha kubeba na kuwapa watu vyeo visivyowastahili,
Ndugu Kitila please take note!
mbona mambo yote yapo hadharani
najiandaa kwenda kuzibandika picha nilizowapiga siku wanakura uroda garini pale chadema makao makuu ili kila atakayeingia ofisini ajionee.